Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,817
D.Trump amezidi kuwathibitishia ma-anti christ na ma-globalist kwamba yeye yuko kwa ajili ya USA na siyo Dunia yote, yeye siyo raisi wa Dunia bali ni raisi wa USA, hivyo hakuna tena kutuma Majeshi ya USA kuvamia nchi nyingine bila ya sababu kwa manufaa ya wachache, muda wa USA kuwa Askari wa Dunia umekwisha, alitoa maneno hayo kwenye Mkutano wa CPAC (The conservative Political Action Conference)!
,,There is no such thing as a global flag, a global anthem, or a global flag,” he said. I’m not representing the globe. I’m representing your country.”
We have to, to turn things around. The era of empty talk is over, It’s over. Now is the time for action.” - D.Trump!
Wananchi wakimkatiza na kuimba USA, USA, USA!
,,There is no such thing as a global flag, a global anthem, or a global flag,” he said. I’m not representing the globe. I’m representing your country.”
We have to, to turn things around. The era of empty talk is over, It’s over. Now is the time for action.” - D.Trump!
Wananchi wakimkatiza na kuimba USA, USA, USA!