International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Taifa la Australia linaanza leo kutekeleza sheria ya Bunge inayopiga marufuku watoto chini ya miaka 16 kutumia au kuwa na akaunti ya mtandao wa kijamii hivyo kuzuia upatikanaji wa majukwaa kama...
1 Reactions
4 Replies
254 Views
Utawala wa Rais wa Marekani Donald Trump umeitaka Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu wa Kivita, ICC, kuachana na mipango yoyote ya kumchunguza na hata kumshtaki Rais Trump na maafisa wa utawala wake...
0 Reactions
5 Replies
336 Views
Rais wa Marekani Donald Trump hivi karibuni kwenye Kwenye mkutano wa baraza la mawaziri uliotangazwa moja kwa moja kwenye televisheni, aliwataja wahamiaji wa Somalia kama “takataka”, na kuelezea...
0 Reactions
9 Replies
423 Views
Rais wa Jumuiya ya Kiuchumi ya Afrika Magharibi (Ecowas), Omar Touray amesema kwamba Afrika Magharibi iko katika hali ya dharura kutoka na utamaduni wake uliozoeleka sasa kupinduana. Hayo...
0 Reactions
0 Replies
159 Views
Mitetemeko mitatu ndani ya wiki iliyoikumba Afghanistan imeacha maelfu ya vifo na majeruhi. Inaripotiwa wanawake ambao wamefukiwa na vifusi wameachwa wafe bila kusaidiwa kwasababu uongozi wa...
3 Reactions
15 Replies
1K Views
Mengi bado yasemwa kuhusu mgogoro unoendelea huko Congo DRC na kwamba hawa wapiganaji wa M23 wafyekwe au wapotezwe mazima jambo ambao si rahisi kama wengi wanavyodhani. Serikali za Afrika hususan...
23 Reactions
142 Replies
11K Views
To German Embassy in Tanzania Tanzanians seek cooperation in unearthing the details of what transpired at Twiga Cement Factory in Dar es Salaam during Samia Suluhu Hassan's heinously bloody...
17 Reactions
37 Replies
2K Views
Huyu bi dada ni mmoja wa wanaompa msongo wa mawazo Rais Trump ------------ Ilhan Omar ni mwanasiasa mashuhuri wa Marekani, mbunge wa chama cha Democratic-Farmer-Labor (DFL), akiwakilisha Jimbo...
2 Reactions
12 Replies
751 Views
Kikundi cha wanajeshi kilionekana kwenye televisheni ya taifa ya Benin kikitangaza kuvunjwa kwa serikali katika kile kinachoonekana kuwa mapinduzi nchini humo, iliyopo Afrika Magharibi. Mapinduzi...
16 Reactions
112 Replies
3K Views
Marekani imeipatia Rwanda Dola milioni 228 kwa ajili ya kupambana na HIV pamoja na malaria. Pesa hizo ni sawa na Shilingi bilioni 600 za Kitanzania. Tuache kiburi. Tupo katika dunia...
7 Reactions
18 Replies
540 Views
Kila kitu kiko sawa’: Msemaji wa Serikali Bado hakuna habari rasmi kuhusu mahali alipo Rais wa Benin Talon, lakini Wilfried Houngbedji, msemaji wa serikali ya Benin, ameiambia AP kwamba “kila...
3 Reactions
22 Replies
975 Views
Mahakama ya Katiba nchini Benin imeamua kukiondoa chama kikuu cha upinzani, Les Démocrates, katika uchaguzi wa urais wa mwaka 2026, hatua ambayo imeibua maswali mapya kuhusu uwazi na haki ya...
3 Reactions
16 Replies
724 Views
Minnesota jimbo lililojaa Wasomali nchini Marekani Mbunge wao ni Ilhan Omar Trump kawararua wanaiba fedha za umma (kuna ripoti zinafadhili vikundi vya kigaidi) wavivu, asilimia 88 wanaosubiri...
9 Reactions
13 Replies
764 Views
Chama tawala nchini Benin imemteua Waziri wa Uchumi Romuald Wadagni kuwa mgombea wao wa urais katika uchaguzi wa Aprili 2026. Uamuzi huu ulipitishwa katika kikao kilichofanyika usiku nyumbani kwa...
0 Reactions
1 Replies
407 Views
Jeshi la Lebanon limekabidhi: handaki la kigaidi kwa Israel karibu na mpaka wa Israel ambalo Hezbollah "ilikabidhi" kwa Jeshi la Lebanon "kama sehemu ya uondoaji wa kijeshi kusini mwa mto Litani."...
5 Reactions
17 Replies
665 Views
Mahakama moja nchini Guinea ya Ikweta imemhukumu kifungo cha miaka 8 gerezani aliyekuwa afisa mwandamizi wa serikali ya nchi hiyo Baltasar Ebang Engonga kwa makosa ya ubadhirifu wa fedha za umma...
4 Reactions
72 Replies
4K Views
Wengi wanaangalia migogoro ya dunia ya leo na kudhani ni siasa, nguvu za kiuchumi au mivutano ya kimamlaka. Lakini Mwaka 1871, Albert Pike aliandika mpango ulioweka ramani ya vita vitatu vya...
3 Reactions
31 Replies
2K Views
Yasser Abu Shabab, kiongozi wa wanamgambo wenye silaha wanaopigana na Hamas wenye makao yake makuu mjini Rafah, anawahutubia wakazi wa Ukanda wa Gaza katikati ya matakwa ya Hamas katika mazungumzo...
1 Reactions
11 Replies
858 Views
Desemba Mosi kila mwaka ni Siku ya UKIMWI Duniani. Kaulimbiu ya mwaka huu ni “Imarisha Mwitikio, Tokomeza UKIMWI”, ikisisitiza umuhimu wa kuimarisha mifumo ya afya ya umma, huku ushirikiano wa...
2 Reactions
8 Replies
452 Views
Hatua hiyo imekuja siku moja baada ya mahakama ya rufaa kuwahukumu viongozi kadhaa wa upinzani, wafanyabiashara na mawakili vifungo vya hadi miaka 45 jela Katika uamuzi unaoonekana kuashiria...
0 Reactions
1 Replies
260 Views
Back
Top Bottom