Taifa la Australia linaanza leo kutekeleza sheria ya Bunge inayopiga marufuku watoto chini ya miaka 16 kutumia au kuwa na akaunti ya mtandao wa kijamii hivyo kuzuia upatikanaji wa majukwaa kama...
Utawala wa Rais wa Marekani Donald Trump umeitaka Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu wa Kivita, ICC, kuachana na mipango yoyote ya kumchunguza na hata kumshtaki Rais Trump na maafisa wa utawala wake...
Rais wa Marekani Donald Trump hivi karibuni kwenye Kwenye mkutano wa baraza la mawaziri uliotangazwa moja kwa moja kwenye televisheni, aliwataja wahamiaji wa Somalia kama “takataka”, na kuelezea...
Rais wa Jumuiya ya Kiuchumi ya Afrika Magharibi (Ecowas), Omar Touray amesema kwamba Afrika Magharibi iko katika hali ya dharura kutoka na utamaduni wake uliozoeleka sasa kupinduana. Hayo...
Mitetemeko mitatu ndani ya wiki iliyoikumba Afghanistan imeacha maelfu ya vifo na majeruhi.
Inaripotiwa wanawake ambao wamefukiwa na vifusi wameachwa wafe bila kusaidiwa kwasababu uongozi wa...
Mengi bado yasemwa kuhusu mgogoro unoendelea huko Congo DRC na kwamba hawa wapiganaji wa M23 wafyekwe au wapotezwe mazima jambo ambao si rahisi kama wengi wanavyodhani.
Serikali za Afrika hususan...
To German Embassy in Tanzania
Tanzanians seek cooperation in unearthing the details of what transpired at Twiga Cement Factory in Dar es Salaam during Samia Suluhu Hassan's heinously bloody...
Huyu bi dada ni mmoja wa wanaompa msongo wa mawazo Rais Trump
------------
Ilhan Omar ni mwanasiasa mashuhuri wa Marekani, mbunge wa chama cha Democratic-Farmer-Labor (DFL), akiwakilisha Jimbo...
Kikundi cha wanajeshi kilionekana kwenye televisheni ya taifa ya Benin kikitangaza kuvunjwa kwa serikali katika kile kinachoonekana kuwa mapinduzi nchini humo, iliyopo Afrika Magharibi.
Mapinduzi...
Marekani imeipatia Rwanda Dola milioni 228 kwa ajili ya kupambana na HIV pamoja na malaria.
Pesa hizo ni sawa na Shilingi bilioni 600 za Kitanzania.
Tuache kiburi. Tupo katika dunia...
Kila kitu kiko sawa’: Msemaji wa Serikali
Bado hakuna habari rasmi kuhusu mahali alipo Rais wa Benin Talon, lakini Wilfried Houngbedji, msemaji wa serikali ya Benin, ameiambia AP kwamba “kila...
Mahakama ya Katiba nchini Benin imeamua kukiondoa chama kikuu cha upinzani, Les Démocrates, katika uchaguzi wa urais wa mwaka 2026, hatua ambayo imeibua maswali mapya kuhusu uwazi na haki ya...
Minnesota jimbo lililojaa Wasomali nchini Marekani
Mbunge wao ni Ilhan Omar
Trump kawararua wanaiba fedha za umma (kuna ripoti zinafadhili vikundi vya kigaidi)
wavivu, asilimia 88 wanaosubiri...
Chama tawala nchini Benin imemteua Waziri wa Uchumi Romuald Wadagni kuwa mgombea wao wa urais katika uchaguzi wa Aprili 2026. Uamuzi huu ulipitishwa katika kikao kilichofanyika usiku nyumbani kwa...
Jeshi la Lebanon limekabidhi: handaki la kigaidi kwa Israel karibu na mpaka wa Israel ambalo Hezbollah "ilikabidhi" kwa Jeshi la Lebanon "kama sehemu ya uondoaji wa kijeshi kusini mwa mto Litani."...
Mahakama moja nchini Guinea ya Ikweta imemhukumu kifungo cha miaka 8 gerezani aliyekuwa afisa mwandamizi wa serikali ya nchi hiyo Baltasar Ebang Engonga kwa makosa ya ubadhirifu wa fedha za umma...
Wengi wanaangalia migogoro ya dunia ya leo na kudhani ni siasa, nguvu za kiuchumi au mivutano ya kimamlaka.
Lakini Mwaka 1871, Albert Pike aliandika mpango ulioweka ramani ya vita vitatu vya...
Yasser Abu Shabab, kiongozi wa wanamgambo wenye silaha wanaopigana na Hamas wenye makao yake makuu mjini Rafah, anawahutubia wakazi wa Ukanda wa Gaza katikati ya matakwa ya Hamas katika mazungumzo...
Desemba Mosi kila mwaka ni Siku ya UKIMWI Duniani. Kaulimbiu ya mwaka huu ni “Imarisha Mwitikio, Tokomeza UKIMWI”, ikisisitiza umuhimu wa kuimarisha mifumo ya afya ya umma, huku ushirikiano wa...
Hatua hiyo imekuja siku moja baada ya mahakama ya rufaa kuwahukumu viongozi kadhaa wa upinzani, wafanyabiashara na mawakili vifungo vya hadi miaka 45 jela
Katika uamuzi unaoonekana kuashiria...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.