Kuna kila dalili kuwa migawanyiko, undumila kiwili, unafiki, na woga wa waarabu utawatokea puani. Yenyewe yamekaa na kuangalia kana kwamba hayawahusu.
Na waafrika tujuandae. Huu waweza kuwa...
Sababu za Maandamano
Marufuku ya mitandao ya kijamii – Serikali ilizuia matumizi ya Facebook, Instagram, WhatsApp, YouTube n.k. kwa madai ya kiusalama. Vijana waliona hatua hiyo kama kukandamiza...
Katika hali isiyotarajiwa baada ya Rais wao Trump, MAGA wakina Elon Musk na Conservatives wengi wa Marekani waropokaji kusambaza uzushi kwamba muuaji ni Democrat/leftist hatimaye aliyepatikana...
Mahakama jijini Johannesburg imewahukumu raia saba wa China kifungo cha miaka 20 jela kila mmoja kwa kosa la kusafirisha binadamu kutoka Malawi na kuwalazimisha kufanya kazi kiwandani nchini...
Takwimu zilizotolewa hivi karibuni na Idara Kuu ya Forodha ya China zinaonesha kuwa, katika miezi minane ya kwanza ya mwaka 2025, thamani ya jumla ya biashara ya nje ya China ilifikia yuan...
Baada ya Charlie kirk kuuawa kazi bado haijaisha, Wafuasi wa chama cha Democrats wameshauri zoezi liwe endelevu na wametoa orodha ya majina ya republicans wa kuuawa.
Hawa Republicans waliotajwa...
Trump amesema assasin wa Charlie Kirk ameshikwa tayari na amependekeza anyongwe kwa mujibu wa sheria.
Soma Pia: Marekani: Charlie Kirk afariki dunia baada ya kupigwa risasi
Mtuhumiwa wa mauaji...
Tyler Robinson, muuaji wa Charlie Kirk, alikulia familia ya Republicans wakiwa wakristo kwa dini, Picha zake nyingi za zamani zilimuonesha katika misimamo hio
Alipoenda chuoni alibadili mtazamo...
Hii ndio Gaza ilivyo sasa, matokeo ya kulazimisha vita ambayo hawawezi kushinda, hamas kuji-mwambafai huku wanaoteseka ni wananchi wa kawaida.
Lakini kuna utindio wa ubongo mmoja atakuja kuilaumu...
Idadi ya wagonjwa wanaoshukiwa kuwa na Ebola katika jimbo la Kasai kusini mwa Congo imeongezeka maradufu ndani ya wiki moja tangu mlipuko mpya kuthibitishwa, kwa mujibu wa Shirika la Afya la...
Habari za usiku huu
Sote tulishuhudia vile Gen Z wa Kenya walivyotikisa uongozi wa Kenya. Maandamano yao yalichukua muda mrefu na yalitapakaa sehemu nyingi kwao.
Pamoja na kwa namna tofauti...
Wahafidhina kadhaa wa mtandaoni anti-Israel wenye ufuasi mkubwa wameanza kuonyesha wasiwasi wao kumuhisi Netanyahu na kuitaja Israel katika tukio la kupigwa risasi na kuuwawa kwa mwenzao Charlie Kirk!
Albania imeweka rekodi ya dunia kwa kuwa nchi ya kwanza kuteua waziri aliyeundwa kwa akili bandia (AI), siyo waziri wa teknolojia ya AI, bali waziri halisi wa kidijitali, aliyeundwa kwa misimbo na...
Waarabu na Waisraeli ni watu wanaoamini katika ubaguzi uwe wa dini, jiografia, rangi, ukoo, hata mawazo. Kila hawa ndugu wawili wanapogombana au kupigana, hushutumiana ubaguzi na ugaidi wakati hii...
Nimeshangaa sana kumsiki Rais wa Marekani Donald Trump, akisema kwamba yupo tear kuiwekea Urusi vikwazo vya kiuchumi, endapo tu mataifa ya NATO yataacha kikamilifu kununua mafuta ya Urusi. Hii ni...
Rais wa Nepal, Ramchandra Poudel, amelivunja bunge na kuitisha uchaguzi mpya utakaofanyika ifikapo Machi 5, 2026. Hatua hiyo imekuja baada ya wiki moja ya machafuko makubwa yaliyosababishwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.