International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Marekani imekaa kando na kuahirisha mkataba mkubwa wa ufadhili wa afya uliokusudiwa kwa Zambia, wenye thamani ya dola bilioni 1.5 karibia Trilioni 3.7 za Kitanzania. Marekani imeahirisha kutoa...
0 Reactions
7 Replies
296 Views
Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Marco Rubio, amesema kuwa vitendo wanavyofanya Rwanda katika eneo la mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo ni ukiukwaji wa wazi wa Makubaliano ya...
4 Reactions
20 Replies
681 Views
❌️ Israel inathibitisha kuondolewa kwa Ra’ad Sa’ad, kamanda mkuu wa Hamas aliyehusika katika kupanga mashambulizi ya Oktoba 7 na kuwajibika kwa uzalishaji wa silaha na kujenga upya uwezo huko...
1 Reactions
3 Replies
196 Views
This isn’t for the weak, and it’s not to massage egos. It’s the reality modern women refuse to admit — until it’s too late. You thought you were upgrading. Leaving your husband for “freedom,”...
11 Reactions
12 Replies
482 Views
Baada ya kukamatwa kwa Uviru, M23 inaendelea na safari. Siku ya jana, eneo lijulikanalo kama Mboko, lililopo umbali wa km 56bkutoka Uvira, liliangukia mikononi mwa kundi hilo la M23. Inasemekana...
7 Reactions
27 Replies
951 Views
Serikali ya Waziri Mkuu Rosen Zhelyazkov imejiuzulu baada ya maelfu ya waandamanaji kujitokeza mitaani katika miji mbalimbali nchini Bulgaria na kujaza eneo la katikati ya mji mkuu, Sofia...
6 Reactions
43 Replies
892 Views
Majeshi ya Marekani yamekamata meli ya mafuta katika pwani ya Venezuela, ikiwa ni mpango wa Marekani kuwekeza shinikizo kwa Serikali ya Venezuela Akizungumza Ikulu ya White House siku ya...
2 Reactions
10 Replies
557 Views
Mpaka sasa, taarifa zisizo na vumbi, mji wa UVIRA, makao makuu ya Kivu kusini, upo mikononi mwa waasi wa serikali ya DRC, ambao ni M23. Ikumbukwe, wapiganaji wote wa upande wa serikali ya DRC...
4 Reactions
36 Replies
2K Views
Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) imemhukumu aliyekuwa kiongozi wa wanamgambo wa Janjaweed kifungo cha miaka 20 jela kwa kutenda ukatili katika eneo la Darfur, Sudan. Ali Muhammad Ali...
2 Reactions
4 Replies
230 Views
Marekani kupitia wakala wake mkuu maziwa makuu Paul Kagame walishakubaliana mpango wa namna ya kudhibiti madini ya congo kwa kuhakikisha nchi ya congo haitawaliki. Kagame ndio msimamizi mkuu. Yeye...
4 Reactions
4 Replies
351 Views
ACCRA, 10 DESEMBA 2025 – Kufuatia kitendo cha kutendwa vibaya na kufukuzwa bila sababu za msingi kwa raia watatu wa Ghana na mamlaka za Israel, Serikali ya Ghana imelazimika kuchukua hatua ya...
3 Reactions
7 Replies
366 Views
Mara ya kwanza niliona M23 ni wabaya na kumchukia PK, ila baada ya yaliotokea october 29 pale Malawi na yanayoendelea kutokea, nachelea kusema waasi wa M23 ni wazalendo kwel na PK ni Pan...
3 Reactions
6 Replies
411 Views
Kutokana na hali ya kiusalama inayoendelea nchini humo, baada ya kuzidiwa nguvu na M23, njia ya ndege kutua iliyokuwa inatokea Uvira, imeilazimu nchi hiyo kusitisha huduma kutokana na hofu ya...
3 Reactions
11 Replies
648 Views
Taifa la Rwanda limeshutumu Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) na Burundi kwa kukiuka Makubaliano ya Washington, mkataba wa kusitisha mapigano uliosainiwa wiki iliyopita chini ya uratibu wa...
0 Reactions
3 Replies
415 Views
Benki Kuu ya Ulaya ilikataa kuunga mkono malipo ya €140 bilioni kwa Ukraine kutoka kwa mali za Urusi zilizotaifishwa, inaripoti Financial Times ikinukuu vyanzo. Makala inasema kwamba ECB...
0 Reactions
6 Replies
550 Views
Kwa sasa kuna mvutano mkubwa Minnesota kati ya jamii ya Wasomali (ambayo ni karibu 80,000 wenye asili ya Kisomali) na serikali ya shirikisho na ya jimbo. Hii imetokana na madai madhubuti ya...
5 Reactions
19 Replies
1K Views
Utawala wa kijeshi wa Guinea-Bissau, umepitisha Katiba ya mpito ya miezi 12 ambayo inawazuia Rais wa mpito na Waziri Mkuu kugombea katika uchaguzi ujao, wiki mbili baada ya maafisa wa Jeshi...
0 Reactions
1 Replies
270 Views
Ndugu zangu ICC inaendelea kuwawajibisha wale wote wanaoshiriki mauaji, unyanyasaji na adha zingine za ukiukaji wa haki za binadamu. ------------------------------------------------- Mahakama ya...
2 Reactions
7 Replies
443 Views
Back
Top Bottom