International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Ukitizama unaweza kucheka lakini ni jambo la kufikiria sana. Yani Makomando wameshindwa kutua sehemu husika wote wametua nje ya uwanja. Hii inaonyesha ishara gani kwao? ============= Nchini...
14 Reactions
27 Replies
1K Views
Akili zenu zimepikwa kuchukia na kupenda kwa maagizo ila sio kwa utashi wenu Chuki yenu inakataa hata historia ya kweli kuwa ardhi ile ni asili ya wayahudi na ni haki yao. Nafsi zenu...
5 Reactions
13 Replies
487 Views
Viongozi wawili wakuu wa upinzani nchini Cameroon wamekamatwa, chama chao cha Union for Change kilisema kupitia taarifa iliyotolewa Oktoba 24, 2025 — hatua inayoongeza mvutano wa kisiasa baada ya...
0 Reactions
0 Replies
163 Views
  • Featured
Waziri anayehudumu katika masuala ya uchumi na usalama wa Taifa katika Seikali ya Japan, Sanae Takaichi, ameshinda kura ya kihistoria ya kuwa Waziri Mkuu wa kwanza Mwanamke kuwahi kutokea Nchini...
2 Reactions
14 Replies
1K Views
Huu ndio uhalisia ulivyo huko Gaza ambako mama badala kubembeleza watoto wao wapendwa na kuwanyonyesha wao huwa wanalia wakiagana nao .Innaa Lillaah wainna ilayhi raajiuun.
9 Reactions
90 Replies
6K Views
Wanaukumbi. Israel directly targeted Palestinian rescue workers at the Nasser Medical Complex in Gaza's Khan Younis. Journalists Mohammed Salama, Hussam Al Masri and Mariam Abu Dagga were among...
2 Reactions
246 Replies
5K Views
Habari ndio hio Ayatollah Ali Khomen baba lao, anasema Rais wa marekani Trump alienda israel ili ku raise morales zao sababu zipo chini sana baada ya kipigo walicho pokea tokea Iran, sababu...
6 Reactions
60 Replies
2K Views
ISRAEL YAZINDUA MFUMO MPYA WA KOMBORA LINAONGOZWA NA LASER 🇮🇱 Kutana na LAHAT ALPHA, kombora hilo ni Game-Changer ambalo hufunga shabaha kutoka umbali wa zaidi ya KM 20. Hawezi kuliona wakati...
1 Reactions
32 Replies
1K Views
Balozi wa Marekani nchini Lebanon amewapa vidonge vyao waarabu kwa kuwaambia hawajastaarabika. Tom Barrack ambye ni Balozi wa Marekani nchini Uturuki na mwakilishi maalum wa nchi hiyo nchini Syria...
12 Reactions
162 Replies
7K Views
Donald Trump anadai idara ya ya sheria ya Marekani/Department of Justice(DoJ) imlipe $230 million kwa kadhia za uchunguzi na kesi mbalimbali zilizoendeshwa na idara hiyo dhidi yake katika miaka...
3 Reactions
4 Replies
237 Views
Kutokana na China kuwa na teknolojia kubwa hasa katika utengenezaji wa bidhaa za high technology imeanza kuwekeza viwanda katika mataifa ya Ulaya kutokana na mataifa hayo kuwa nyuma katika...
14 Reactions
95 Replies
2K Views
Habari za hivi punde ni kuwa Rais Trump anatarajiwa kuruhusu mashambulizi ndani ya Venezuela kwa lengo la kumuondoa Rais Madulo, Venezuela tayari imesogeza Vilinda Anga muda mchache uliopita...
4 Reactions
24 Replies
1K Views
Mmojawapo wa wanamkakati wakubwa na wa kwanza wa MAGA , Steve Bananon ambaye pia amewahi kuwa mshauri na katibu mkuu kiongozi katika utawala wa Trump anasema kwa namna yoyote ile Trump lazima awe...
0 Reactions
0 Replies
179 Views
Ni muda mrefu sasa maskini wawatu, wakiristo wa Nigeria wamekuwa wakichinjwa na Waislamu wenye Siasa Kali huko Nigeria katika maeneo ya kaskazini na kwa siku za karibuni Central Plateau States...
0 Reactions
5 Replies
319 Views
Mamlaka ya usalama wa taifa la China hivi karibuni ilifanikiwa kuzima jaribio la kushambulia Taasisi ya Huduma ya Wakati ya China. Kulingana na matokeo ya uchunguzi yaliyotangazwa, shambulio hilo...
2 Reactions
0 Replies
353 Views
Huwa nawashangaa sana watu wanaosema Israel inapiga vita, Israel haipigani vita huwa inajilinda, wanaopiga vita ni kina Iran na vikundi vyake. Israel wana deal na targets kubwa zaidi kama wakuu...
2 Reactions
13 Replies
515 Views
Takribani watu 20 wamekamatwa nchini Cameroon kuhusiana na maandamano yanayohusiana na uchaguzi wa urais uliofanyika Oktoba 12, huku mvutano ukiendelea kuongezeka kabla ya matokeo rasmi kutangazwa...
0 Reactions
1 Replies
253 Views
Ndege-vita za Israel jioni hii z inashusha kipondo cha kufa mtu kwa magaidi wa Hezbollah
0 Reactions
2 Replies
173 Views
Hatutakubali kushirikiana na UNRWA - shirika ambalo wafanyakazi wake walishiriki katika mauaji ya Oct 07,2023 kwa kuua watu wetu na wengine kuwateka nyara. Ni jambo la kutisha na la aibu kwamba...
0 Reactions
0 Replies
117 Views
Smotrich kuhusu uhalalishaji wa Saudia: 'Hapana asante, endelea kupanda ngamia' Waziri wa Fedha Bezalel Smotrich anasema kwamba hatakubali makubaliano ya kuhalalisha na Saudi Arabia ikiwa...
0 Reactions
0 Replies
178 Views
Back
Top Bottom