Idara ya Mambo ya ndani ya Marekani imetangaza kuwa mabango yote ya maelezo kwenye hifadhi za taifa yapo chini ya ukaguzi, hatua inayokuja wakati wa utawala wa Rais Donald Trump ambao unadaiwa...
Serikali ya Nepal imetangaza kutoa rupia 1.5 milioni (Sh42 milioni) kwa ajili ya fidia kwa familia za wafiwa waliofariki katika maandamano ya GenZ yaliotokea nchini humo wiki chache zilizopita...
Kuteka na kuua raia ndo final stage ya utawala kuanguka maana baada hakuna option inayobaki.
Siku wananchi hawa mnaotuita makondoo wakichoka, hao watekaji hutowaona popote.
Polisi nchini Gambia wamemtoa kwa nguvu Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Momodou Ceesay, kutoka ofisini baada ya kukataa kuachia wadhifa huo kufuatia mabadiliko ya baraza ya Rais...
Marekani imetangaza makubaliano ya awali na China kuhusu kutatua mgogoro wa TikTok, ambapo yamependekeza kwamba umiliki wa programu/Mtandao huo inayomilikiwa na Wachina upewe kampuni...
Hapo ndipo temple ya kwanza na ya pili ilipokuwa, mamlaka nyingi zilizopita zilihakikisha kufukia historia ya judea kwa kupandikiza za kwao ila ukweli siku zote unashinda giza.
Miaka ya maelfu ya...
Hapa kuna orodha ya baadhi ya nchi zinazojulikana kuwa hazina jeshi pamoja na jinsi zinavyolinda usalama wao:
Costa Rica
Iliacha kuwa na jeshi mwaka 1948.
Usalama wake unadhibitiwa na Fuerza...
Larry Ellison mwanzilishi wa kampuni ya Oracle amempita Elon Musk na kuwa mtu tajiri zaidi duniani.
Leo amevuna kibunda chenye thamani ya $107 bilioni, baada ya hisa za Oracle kuongezeka kwa 43%...
Rais wa zamani wa Urusi Dmitry Medvedev amesema uamuzi wa nchi za Jumuiya ya Kujihami ya NATO wa kuilinda anga ya Ukraine itakuwa ni kama tangazo la vita.
Medvedev amesema kwenye mtandao wa...
Waziri Mkuu wa mpito nchini Nepal Sushila Karki ameapa kufuata matakwa ya waandamanaji ya kukomesha ufisadi nchini humo wakati alipokuwa anaanza kazi yake rasmi baada ya kushika wadhifa huo...
Chama kikuu cha upinzani nchini Uturuki, Republican People’s Party (CHP), kinakabiliwa na mtikisiko mkubwa ambapo leo Septemba 15, 2025 Mahakama mjini Ankara inatarajiwa kuamua iwapo itabatilisha...
Vyama vya upinzani nchini Sudan Kusini vimesema mashtaka ya uhaini na uhalifu dhidi ya binadamu yanayomkabili Makamu wa Kwanza wa Rais wa nchi hiyo, Riek Machar, ni ya kisiasa na yanaweza...
Jameni Israel hunifurahisha hadi naumwa, waliikalisha Iran na kuteka anga lao lote na kupiga popote walipokua wanataka, juzi wamechezea kwenye anga ya Qatar bila hata ndege moja kudunguliwa, tena...
Nikiwa bado kwenye msoto mkali wa lockdown JamiiForums imekuwa sehemu mojawapo ya kuniondoa upweke, asikuambie mtu ni kazi ngumu sana kukaa ndani masaa yote kwa mtu mwenye akili timamu.
Leo...
Tovuti ya habari ya Axios ya nchini Marekani, hivi karibuni imetoa ripoti, ikisema kiwango cha ukosefu wa ajira kwa Wamarekani wenye asili ya Afrika kimeongezeka kwa kasi mwaka huu, na kutoa...
Msemaji wa IDF:
IDF inaendelea kushambulia miundombinu ya kijeshi ya utawala wa kigaidi wa Houthi nchini Yemen.
Muda mfupi uliopita, IDF ilishambulia miundombinu ya kijeshi ya utawala wa...
Jeshi la Israel ilifanya Mashambulizi kwa kushusha Makombora Gaza baada ya kutangaza na kutoa onyo Septemba 9, 2025 kwa Wapalestina kuhama na kuondoka kwenye makazi kwani watafanya mashambulizi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.