VERITE-NUE
JF-Expert Member
- Jan 28, 2019
- 1,489
- 1,466
Kutokana na hali ya kiusalama inayoendelea nchini humo, baada ya kuzidiwa nguvu na M23, njia ya ndege kutua iliyokuwa inatokea Uvira, imeilazimu nchi hiyo kusitisha huduma kutokana na hofu ya usalama wa anga, ikiwa kuna uwezekano mkubwa wa M23 kuwa tayari mitambo ya ulinzi wa anga imeshawekwa tayari maeneo hayo.
Wakati huo, aliyekuwa mwenyekiti wa chama tawala CNDD-FDD, Revelien Ndikuriyo, amejiuzulu useneta, ili aweze kugombea uraisi, kwenye uchaguzi wa mwaka 2027.
Kiti anachokitaka, ndo anachokalia rais Evariste Ndayishimiye.
Kitendo hiki, tayari kimeshagawa chama kwa makundi mawili. Moja linalomuunga mkono rais, na linalomuunga mkono Mwenyekiti wa chama.
Wakati huo, aliyekuwa mwenyekiti wa chama tawala CNDD-FDD, Revelien Ndikuriyo, amejiuzulu useneta, ili aweze kugombea uraisi, kwenye uchaguzi wa mwaka 2027.
Kiti anachokitaka, ndo anachokalia rais Evariste Ndayishimiye.
Kitendo hiki, tayari kimeshagawa chama kwa makundi mawili. Moja linalomuunga mkono rais, na linalomuunga mkono Mwenyekiti wa chama.