International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Mkuu wa Majeshi ya Jeshi la Libya, Mohammed Ali Ahmed Al-Haddad, amefariki dunia Jumanne baada ya ndege aliyokuwa akisafiria kuanguka muda mfupi baada ya kuondoka katika mji mkuu wa Uturuki...
1 Reactions
3 Replies
328 Views
Rais wa Urusi Vladimir Putin amesema hawana nia ya kupigana na ulaya ila ikiwa ulaya na vita na Russia basi wao wapo teari Ata sasa
2 Reactions
13 Replies
760 Views
Maelfu ya Wakristo wameuwawa Nigeria kwa miongo miwili mfululizo na magaidi wa Boko Haram lakini hakuna kelele kubwa katika vyombo vya habari Africa wala popote duniani. Huko DRC magaidi...
3 Reactions
16 Replies
506 Views
Moja kati ya maeneo yanayotajwa kuwa na uwezekano mkubwa wa kuliondoa bara la Afrika kwenye changamoto za umaskini na usalama wa chakula ni kuboresha sekta ya kilimo. Kutokana na bara la Afrika...
0 Reactions
0 Replies
158 Views
Mawasiliano yamepotea na ndege binafsi iliyowabeba mkuu wa majeshi ya Libya Jenerali Muhammad Ali Ahmad Al-Haddad na watu wengine wanne waliokuwa wanaelekea Tripoli kutoka mji mkuu wa Uturuki...
1 Reactions
13 Replies
327 Views
Familia nyingi za kizungu wakipata mtoto mmoja shughuli imeishia hapo, wengine huamua kuishi bila watoto (childless) Mtindo huu wa maisha umefanya kuwe na birth rate inayopungua kwa kasi sana...
7 Reactions
35 Replies
995 Views
Hii huwa inanichanganya. Huyu dada ameondoka nchi yao nzuri ya kiislamu yenye kufuata miiko ya dini na taratibu na kwenda kuishi nchi ya kikafir. Alichofanya ndo kimeshangaza zaidi. Huko ambako...
6 Reactions
40 Replies
2K Views
𝗠𝗮𝗸𝗮𝗺𝘂 𝘄𝗮 𝗥𝗮𝗶𝘀 𝗮𝗺𝘄𝗮𝗸𝗶𝗹𝗶𝘀𝗵𝗮 𝗥𝗮𝗶𝘀 𝗦𝗮𝗺𝗶𝗮 𝗠𝗸𝘂𝘁𝗮𝗻𝗼 𝘄𝗮 𝗜𝗖𝗚𝗟𝗥 - 𝗣𝗦𝗖 𝗙𝗿𝗮𝗺𝗲𝘄𝗼𝗿𝗸 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amemwakilisha Rais wa Jamhuri ya...
1 Reactions
9 Replies
210 Views
Nchi ya Ethiopia imepiga marufuku na kuondoa makampuni ya kubet nchini mwao. Hii ni katika harakati za kuwaondoa wananchi na utegemezi na uraibu wa kamari badala ya kufanya kazi za ujenzi wa...
2 Reactions
15 Replies
493 Views
Nchi nyingi zinazonunua ndege za kivita aina ya F-35 huuziwa toleo la kawaida, lenye udhibiti mkali. ni sawa na kununua simu ya mkopo au iliyofungiwa laini ya tigo au yas, Israel ndiyo taifa...
1 Reactions
9 Replies
575 Views
Mataifa yaliyolemaa kwa kupenda kupokea misaada kutoka kwa mataifa yaliyoendelea sasa itabidi yajifunze kusimamia miguu yao wenyewe baada ya mataifa yaliyoendelea kubadili sera yao ya kutoa...
0 Reactions
0 Replies
135 Views
https://www.instagram.com/p/DSiPoY2EV_C/?img_index=3&igsh=czl4ZGx1ajM4cTQ3
3 Reactions
23 Replies
611 Views
🚨 Israel yaionya Marekani: Majaribio ya Makombola ya Iran yanaweza kuficha shambulizi la Iran dhidi ya nchi yake. Maafisa wa Israel wameutahadharisha utawala wa Trump kwamba zoezi kubwa la...
2 Reactions
1 Replies
333 Views
Kutokana na historia ya Palestina kila wanapokaribishwa na kupewa uhuru hujikuta wao ndio wanataka kuamrisha wenyeji na kutaka kutawala wao. Historia zimeandikwa nyingi sana kuhusu hawa. Hawa...
8 Reactions
44 Replies
1K Views
Haya yanajiri siku chache tu baada ya kusainiwa makubaliano ya amani yaliosimamiwa na Marekani. Awali balozi wa Marekani katika Umoja wa Mataifa Mike Waltz, aliliambia Baraza la Usalama la Umoja...
4 Reactions
23 Replies
942 Views
Baada ya kuibuka vita kali kati ya M23 na jeshi la FARDC, likisaidiwa na mamluki kutoka nchi za ulaya na marekani, kundi la FDLR, Kundi la wazalendo, jeshi la Burundi na kundi la Imbonerakure...
4 Reactions
15 Replies
967 Views
Mamia ya wakulima wa Ulaya walijaa mitaa ya Brussels wakipinga makubaliano ya kibiashara ya EU-Mercosur trade . Maandamano yaliyoanza kwa utulivu yaligeuka vurugu, waandamanaji walishambulia...
4 Reactions
24 Replies
769 Views
Discovered reserves of the system are 1.6 billion barrels of oil . 59 trillion cubic feet of gas. More than one-half of the reserves are in Lower Permian rocks below the salt seal. Aluta...
3 Reactions
32 Replies
1K Views
Msichana wa miaka sita alilazimishwa kuolewa na mwanaume mwenye umri wa miaka 45 nchini Afghanistan baada ya kuuzwa kwa fedha. Picha ya kusikitisha inayomuonesha mwanaume mzee akiwa amesimama na...
15 Reactions
215 Replies
7K Views
Back
Top Bottom