Wananchi wa Malawi wanatarajiwa kupiga kura Septemba 16, 2025 kuchagua rais mpya, wabunge na madiwani, ikiwa ni baada ya miaka mitano tangu uchaguzi uliopita ambapo vyama 17 vitashiriki huku...
Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa watu 31 wamefariki dunia kutokana na mlipuko wa Ebola nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) Spetmeba 2025. Mkurugenzi Mkuu wa WHO, Tedros...
Wanakumbi.
Mataifa ya Kiarabu yameamua kuunda kikosi cha kijeshi cha kwa mtindo wa NATO.
Nchi za Mashariki ya Kati zinaungana kupigana na Israel pindi atakaposhambulia nchi yeyote ya Mashariki...
Watu 11 waliorejeshwa nchini Ghana kutoka Marekani wameifungulia mashtaka serikali ya taifa hilo, kwa madai ya kuzuiliwa kinyume cha sheria. Wakili wao, Oliver-Barker Vormawor, ameiambia BBC kuwa...
UNRWA ikusanya zaidi ya dollar bilioni moja kila mwaka za pesa za misaada na pesa hizi zilipotea katika mifuko ya maofisa waliokuwa wamewekwa na hamas katika nafasi za shule hizo.
Pesa hizo...
ANTIFA ni muunganiko wa vikundi vy kikomonisti, vikundi vya mashoga, vikundi vya itikadi kali, etc katika itikadi moja ya kupingana na mrengwa wa kulia kwa kutumia vurugu, mauaji na uharibifu...
Takribani miaka milioni sita iliyopita, Bahari ya Mediterania ilipitia mabadiliko makubwa yaliyotikisa historia ya kijiolojia ya dunia, kuanzia muonekano hadi ubora wake wa kuitwa bahari. Shughuli...
Chanzo . BBC Swahili.
Mahakama nchini Zambia imewahukumu wanaume wawili kifungo cha miaka miwili jela kwa kujaribu kutumia uchawi kumuua Rais Hakainde Hichilema.
Mzambia Leonard Phiri na...
Israel kuchukua udhibiti kamili wa kijeshi wa Gaza Netanyahu ameifanya kazi nzuri sana leo hii na atasababisha yafuatayo:
Hamas itaondolewa milele!!.
Hali ya ugaidi haitakuwapo tena.
Na kwa upande...
ANTIFA ni syndicate ya mrengwa wa kusoto inayotumia njia za machafuko na vurugu kuwakilisha itikadi yao ya kupinga sera za mrengwa wa kulia, ku-promote ukomonisti/ujamaa na kulinda haki za mashoga...
Cuba
Vietnam
Tz
Zambia
North korea
Laos
Cambodia
Mozambique
Albania
Na wengine sana tu..
Vilichezewa foul bila kujijua kuwafaiddisha wao pekee.
UKOMONISTI NI USHETANI
Siasa za Marekani zimegeuka na kuwa kama za Afrika ndani ya muda mfupi. Bw. Trump kila ambaye anapingana naye basi anakuwa mbaya na waliomzunguka sharti kumsifia tu kama machawa. Siasa zimekuwa ni...
Askari polisi kijana jijini Lusaka ametoweka baada ya kujilimbikizia kwa nguvu "pakiti ya kustaafu" yenye thamani ya K622,483 kutoka Zanaco, tawi la Civic, siku mbili zilizopita.
Wafanyakazi wa...
Bunge la Rwanda limelaani vikali azimio la Bunge la Umoja wa Ulaya (EU) lililotaka kuachiwa huru kwa mwanasiasa wa upinzani Victoire Ingabire, likisema hatua hiyo ni kuingilia uhuru wa mahakama na...
Simon Leviev, raia wa Israel anayejulikana zaidi kupitia filamu ya Netflix The Tinder Swindler, amekamatwa nchini Georgia kwa ombi la Interpol baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Batumi...
Kabla ya yote nakushauri weka bundle la kukutosha muda wa dakika 20 ili ufuatilie matokeo haya ya uvumbuzi wa kihistoria wa " the pilgrimage road from the city of David to the Temple Mount". Njia...
Oya
Myahudi kachafukwa kinoma.
Hataki discussion na mtu yeyote yule.
=================
Mkuu wa sera za kigeni wa Umoja wa Ulaya Kaja Kallas amependekeza awamu nyengine ya vikwazo dhidi ya mawaziri...
Utengenezaji wa mfumo wa kukamata laser wa "Iron Light" umekamilika kufuatia mfululizo wa majaribio kusini mwa nchi. Jina jipya la mfumo: "Nuru ya Eitan,"”Light of Eitan,” iliyopewa jina la...
Niaje waungwana
Wengi tunafaham kuwa shetan huwa hana undugu, urafiki wala ujamaa na binadamu. Shetan ndugu yake, rafiki yake na jamaa yake ni shetan mwenzake. Hivyo ukiingia makubaliano yoyote...
WAPALESTINA NI WAVAMIZI KWA MUJIBU WA QURAN
Qur’an inataja wazi kuwa ardhi takatifu (Ardhi ya Kanaani) ilipewa kwa Waisraeli (wana wa Israel). Kuna aya kadhaa zinazolitaja hilo
Qur’an 5:20–21...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.