Hii ni mitaa ya Northern Kenya maana kuna kambi za ma-refugee kibao tu huko. It is happening as we speak.
Si unajua kuna drought mitaa ya Kenya na inasogea chini poepole. Bongo wakae kama kujihami otherwise
ngoma itaita tu na wakulu wamelala!
oook now najua ni kwa nini biashara ya mahindi kwenda kenya this time imechukua chati na kufanya mazao yawe juu. i think tusipoangalia tutaingia kwenye hii situation, kwa jinsi tunavyoshindwa kushughulikia maswala ya umeme
Watanzania tunadharau kilimo vibaya mno....ukweli nimetokea familia ya wakulima. Kuna tusi nimelisikia watu wakitukana, "we mkulima nini?" au "huyu ka mkulima vile!". Yaani ukulima kanakwamba ni laana, tubadilike jamani. Lasivyo, njaa itatufundisha one day...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.