International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Kinachoendelea ulimwenguni kwa sasa ni kukamatwa kwa Maduro! Ila ukitumia jicho la tatu kwa kufuata mtiririko ufuatao utagundua ni mchongo ili kuipa hadhi Marekani pamoja na Trump! Hii ni jana...
7 Reactions
45 Replies
2K Views
Changamkieni fursa wan JF, tukitengemeza has timu ya wat kumi kila mtu achukue 5m💵 inatosha 🤣
4 Reactions
17 Replies
769 Views
Ukisikia unyakuo ndio huu. Kikosi maalumu cha jeshi la Marekani (Delta Force), kimetumia dakika 124 tu (masaa mawili na dakika 4) kutua Ikulu ya Venezuela (Palacio de Miraflores) na kumnyakua Rais...
22 Reactions
55 Replies
3K Views
Maduro atasafirishwa hadi gereza la Kituo cha Magereza cha Jiji ambapo atakabiliana na mashtaka ya dawa za kulevya, saa chache baada ya jeshi la Marekani kumkamata yeye na mkewe. Maduro aliwa na...
6 Reactions
49 Replies
1K Views
Amebaki huyu sasa Amani ya mashariki ya kati itaongezeka kwa hata asilimia 60% siku akinyakuliwa 👇👇
3 Reactions
9 Replies
280 Views
WIZARA YA MAMBO YA NJE YA URUSI “Asubuhi ya leo, Marekani imefanya kitendo cha uchokozi wa kijeshi dhidi ya Venezuela. Hili linatia wasiwasi mkubwa na linapaswa kulaaniwa.” “Sababu zilizotumika...
1 Reactions
11 Replies
520 Views
Marekani imesema itaingia mzigoni ikiwa itabainika kwa mapolisi wa Iran waliua waandamanaji kwa makusudi. https://www.instagram.com/p/DTAREQjgYoa/?igsh=MWRnM2d2bnEzeXluZA==
2 Reactions
32 Replies
818 Views
Maandamano dhidi ya gharama kubwa ya maisha nchini Iran yameenea hadi vyuo vikuu kadhaa, huku wanafunzi wakijiunga na wafanyabiashara na wauzaji wa masoko (bazaars), vyombo vya habari vya serikali...
10 Reactions
59 Replies
2K Views
Wakuu, Najua kwa sasa hot issue ni maduro. Hebu tupitie kidogo maisha yake ----------- Novemba 23, 1962: Nicolás Maduro Moros anazaliwa Caracas, Venezuela, familia yake ikiwa ya wafanyakazi...
0 Reactions
3 Replies
335 Views
Makamu wa Rais mstaafu wa Marekani, bibie Kamala Harris amesema Donald Trump ameivamia Venezuela sio kwasababu ya kutokuwa na demokrasi au biashara ya madawa ya kulevya bali ni kuhakikisha...
4 Reactions
36 Replies
650 Views
Wakuu, Anaandika Kumbusho Dawson kwenye ukurasa wake wa Instagram: Hii ilikuwa mwaka 2019, wananchi wa Venezuela walijaribu kuandamana kupinga matumizi mabaya ya mali za umma, utekwaji na...
4 Reactions
11 Replies
466 Views
Awali ya yote ukisikia kuhusu VITA na TAARIFA za Vita unakumbuka Maneno ya Mtu Maarufu Gani? na inakupa tafsiri gani? Mimi kwangu inanikumbusha Maneno ya Yesu alipokuwapo hapa Duniani aliyoyasema...
0 Reactions
0 Replies
244 Views
Trump hajamkamata Maduro kwasababu ya ukiukaji wa Sheria, bali ni kwasababu Maduro ameharibu maslahi ya Marekani yakupata mafuta Na ndiyo sababu uamuzi wa kumkamata haujapitishwa na Bunge ni...
2 Reactions
29 Replies
380 Views
How the Pentagon snatched Nicolás Maduro — The Economist
1 Reactions
1 Replies
206 Views
Kesho Trump anaweza kuwa Shangai Detention Centre ya China😄😄😀😅😆 --- China has called on the United States to immediately release Venezuelan President Nicolas Maduro after Washington carried out...
3 Reactions
17 Replies
729 Views
Rais wa Marekani Donald Trump asema kuwa Venezuela itatawaliwa na Marekani hadi hapo atapopatikana mtu wa kutawala Venezuela. Asema kuwa makampuni kutoka Marekani yataanza kazi ya kuchimba mafuta...
15 Reactions
43 Replies
1K Views
Wakuu, Mambo yanaendelea kuwa sukari huku Pam Bondi ambaye ni Mwanasheria Mkuu wa Marekani anasema kesi ya Maduro itakuwa inasikiliziwa kwenye Mahakama za New York huko Nchini Marekani Makosa...
6 Reactions
24 Replies
654 Views
Congratulations, President Trump! This is a win for the world and a clear message to evil dictators everywhere.
7 Reactions
23 Replies
688 Views
Mali na Burkina Faso zimetangaza kuwazuia raia wa Marekani kuingia katika nchi zao, zikieleza kuwa hatua hiyo ni jibu la moja kwa moja kwa uamuzi wa Marekani wa kuwazuia raia wao kuingia nchini...
3 Reactions
13 Replies
495 Views
Back
Top Bottom