Wakanisa walikuwa kila kukicha wanamzulia Mtume Muhammad eti alimuowa bi Aisha ana miaka 6, na hao viongozi wa hayo mataifa walio mzulia Mtume Muhammad.
Mwenyezi Mungu alishatoa ahadi anaye...
Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Guadalajara International Airport nchini Mexico umefungwa ghafla kufuatia taarifa zisizothibitishwa kuhusu kifo cha Nemesio Oseguera Cervantes maarufu kama El...
Niaje waungwana.
Kama kawaida, leo nimekuja kutoa somo kamili kwa wale wayahudi uchwara wa Tandale kwa Mtogole, wasiojua nguvu halisi ya Iran katika miaka iliyopita, iliyopo na ijayo.
Bila...
Msemaji wa IDF:
IDF ilishambulia makao makuu ambayo magaidi kutoka shirika la kigaidi la Hamas waliendesha shughuli zao kusini mwa Lebanon
IDF ilishambulia mapema leo (Ijumaa) makao makuu ambayo...
Amani iwe nanyi watumishi wa MUNGU katika KRISTO YESU
Dunia kwa sasa si mahala salama kwa kuishi wakristo hili kila mtu anajuwa , basi tuwaombee sana wakristo wote hasa wa Nigeria, Lebanon...
The son of a former Zimbabwean president has allegedly shot a security guard. More details to follow as SABC News reporter Chriselda Lewis reports from the scene.
Police in South Africa have...
Habari zenu Wana JF
Sababu za kuundwa UN ni kuzuia vita na madhara yake Duniani
Lakini Cha kushangaza watu wanaanzisha vita vya makusudi na UN ipo kimya tu hili kidogo linashangaza
Vita vya...
Huduma ya Magereza ya Israeli imeanza maandalizi ya vifaa na uendeshaji kwa ajili ya utekelezaji wa hukumu ya kuwanyonga mpaka kifo magaidi inayowezekana kufuatia kusomwa kwa muswada wa kwanza wa...
The son of former Zimbabwean President Robert Mugabe is expected to appear in the Alexandra Magistrates Court today (23 February 2026) alongside a co-accused.
Bellarmine “Chatunga” Mugabe and...
Trump amesema kuwa ameshaacha WOSIA/maelekezo endapo Iran itafanikiwa kumuua.
Wosia huo unawaambia jeshi la Marekani nini cha kufanya baada ya kifo cha Trump!
Mikwara mingi kumbe dingi muoga...
#HABARI Polisi wa Kiislamu katika jimbo la Kano kaskazini mwa Nigeria, wanaojulikana kama Hisbah, wamewakamata Waislamu tisa- wanaume saba na wanawake wawili kwa kosa la kula chakula hadharani...
Wakuu kwa yanayo endelea huko mashariki ya kati kuna dalili yoyote ya vita kati ya Marekani na Iran kushindwa kutokea au tuwe tayari kwa breaking news kubwa muda wowote kutoka sasa ?
Updates na...
DP World, kampuni ya kimataifa ya usafirishaji na usimamizi wa mizigo inayomilikiwa na Falme za Kiarabu (UAE), imemwondoa Sultan Ahmed bin Sulayem katika nafasi ya mwenyekiti na mtendaji mkuu...
Marekani siku zote inalinda Maslahi yake kwa nguvu Kubwa katika kujilinda huku ameigawanya Dunia katika angle za kijographia ili kuhisisha mawasiliano na kuendelea kumiliki uchumi wa Dunia na...
Hio sio list ya nchi zenye vita ambazo watu wake huombea siku iishe salama hata wakikimbilia milimani.
Hizi ni nchi ambazo hata kama hakuna vita ni ngumu kuishi, kujitegemea inabidi uumize sana...
Gavana wa Illinois, JB Pritzker, anamtaka Rais wa Marekani, Donald Trump, kuirejeshea jimbo la Illinois zaidi ya dola bilioni 8 baada ya Mahakama Kuu ya Marekani kubatilisha Ijumaa ushuru mpana wa...
Wanakijiji walivyokimbilia kuchimba dhahabu iliyopatikana karibu na zizi la ng'ombe
Watu wengi wamekimbilia kuchimba dhahabu katika eneo la makazi duni mashariki mwa mji wa Johannesburg, Afrika...
Kuna wakat niliwahi kuwaambia watu huku kuwa ishu ya free palestine ni mtandao wenye kazi maalum wakabisha mno.
Hadi hapo hapo walipogundua pesa inayomwagika kufadhili ugaidi kupitia mgongo wa...
Kiongozi mkuu wa Taliban, Hibatullah Akhundzada amesaini sheria mpya ya adhabu nchini Afghanistan ambayo inaruhusu wanaume kuwapiga wake na watoto wao, isipo kuwa vipigo hivyo havisababishi...
Wakuu,
Maandamano makubwa yanaendelea nchini Albania ambapo raia wameingia mtaani kupinga rushwa inayohusisha viongozi wa serikali, ikiwemo Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Miundombinu na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.