Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Kuna Madereva wa serikali wapo rafu sana barabarani. Hivi hakuna sheria ya kuwadhibiti ? Inatakiwa iwekwe sheria ya kuwajibishwa na askari wa barabarani/traffic police. Kama haujawahi kuendesha...
10 Reactions
31 Replies
229 Views
Wakati natafakari swala hili kwa kina hakika Mungu amenipa jibu lifuatalo. Utofauti wa rangi na nywele za wanadamu ulitokana na kuzaliana kwa wanadamu wa kwanza baada ya uumbaji. Biblia...
3 Reactions
37 Replies
264 Views
Kwa mujibu wa Ibara ya 50(2)(c) ikisomwa pamoja na Ibara ya 50(4) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Makamu wa Rais anapojiuzulu na nafasi yake kuwa wazi, utaratibu wa kisheria wa...
3 Reactions
1 Replies
158 Views
NB: Nina Akili Ndogo Sana Kabla ya vurugu na mauaji ya Oktoba 2025, TCRA waliwahi kuchezea mifumo ya utendaji kazi pale ofisi zao kuu za Dar Es Salaam kisha nikawaandikia ujumbe huu wa barua pepe...
8 Reactions
37 Replies
841 Views
Kwamba wote walio jiuzulu ni product ya seminari? Najiuliza wangekuwa ndio kama akina sisi ambao hatukupita huko tungeweza kuwa na ujasiri huo?
1 Reactions
4 Replies
90 Views
✍️Kuna jambo moja ambalo vijana tunapaswa kujifunza kwa umakini sana katika safari ya uongozi si kila mtu anayetamani kuwa mkubwa ana uwezo wa kubeba ukubwa huo. Kuwa na ndoto kubwa ni jambo...
0 Reactions
0 Replies
18 Views
Habri wakuu, natafuta mwanasheria Mzuri wa mikataba bora ya kibiashara, kampuni aliyeko Dar es salam, kwa anaefahamiana na mwanashieria mzuri naomba unitumie mawasiliano yake DM. Asanteni sana
3 Reactions
14 Replies
159 Views
Siwezi kuoa MWANAMKE ambaye ameshanyonya ub***o wa mwanaume mwingine.. Siwezi kuoa MWANAMKE ambaye amewahi kukaa Dog style kwa wanaume wengine Never Uvumilivu huo sina
2 Reactions
5 Replies
47 Views
What does that mean?
3 Reactions
28 Replies
429 Views
Ni mwanangu toka way back sana, Sasa tumekuja kuwa na ushkaji mkubwa miaka ya hivi karibuni, mixer wazazi wake wananifaahamu sana. Mimi ni mtu ambae nikizoeana na watu, hamnaga kupoa. Yaani ni...
5 Reactions
132 Replies
1K Views
Serikali imetoa kauli juu ya suala la upotevu wa watoto ambao umekua ukiripotiwa katika Vyombo vya Habari na Mitandao ya Kijamii ambapo imewaasa wazazi kuwa makini na kushiriki ipasavyo ulinzi wa...
1 Reactions
1 Replies
41 Views
  • Redirect
Sio kwamba siwaoni vijana wa kiume omba walio jazana kila kona . Ila taifa leo lina omba omba wanawake , kwa kigezo cha mapenzi zaidi ya wakoma, halafu wanaona ni kawaida tu wala hawana aibu🤔...
4 Reactions
Replies
Views
Jambo lolote ambalo lina baraka za Mungu na ni mapenzi ya Mungu katika Maisha yako huwa hautumii nguvu kulipata Usilazimishe Mchongo unaokataa, usilazimishe Safari inayokataa , usilazimishe...
12 Reactions
38 Replies
312 Views
Kuna jiji au manispaa ina park au sehemu ambayo mtu anaweza kwenda na kupata internet ya bure?
0 Reactions
0 Replies
24 Views
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Maendeleo ya Vijana, Joel Arthur Nanauka Agosti, 2026 ameendelea kuwafikia Vijana wa Kitanzania safari hii akitia nanga katika Kijiji cha Makunda, Mkoani Singida...
1 Reactions
2 Replies
45 Views
Katika Siku za Karibuni zimeonekana 'Klipu' kadhaa Za Mchungaji anayejiita Kiboko ya wachawi mitandaoni zikimuonyesha akiwadhihaki na kuwadhalilisha Waamini waliokuwa wakitoa pesa zao kwake kwa...
4 Reactions
25 Replies
2K Views
Maisha ya sasa usipokuwa na financial literacy (elimu ya pesa) unaweza kujikuta umeingia kwenye utumwa wa matumizi makubwa, ambayo baadaye yanakupeleka kwenye uraibu wa mikopo usioisha. Mambo...
70 Reactions
176 Replies
13K Views
NB: Nina Akili Ndogo Sana. Ndugu zangu, ninawaombeni sana, sana, sana, sana, tena saana, msisahau kuipenda na kuwa wazalendo kwa Tanzania yetu. Ipendeni kwanza Tanzania, kisha baadae ndio...
2 Reactions
21 Replies
638 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…