papag JF-Expert Member Joined Jul 31, 2009 Posts 1,262 Reaction score 1,912 Wednesday at 11:07 AM #1 Kwamba wote walio jiuzulu ni product ya seminari? Najiuliza wangekuwa ndio kama akina sisi ambao hatukupita huko tungeweza kuwa na ujasiri huo?
Kwamba wote walio jiuzulu ni product ya seminari? Najiuliza wangekuwa ndio kama akina sisi ambao hatukupita huko tungeweza kuwa na ujasiri huo?
wa stendi JF-Expert Member Joined Jul 7, 2016 Posts 26,491 Reaction score 29,263 Wednesday at 11:09 AM #2 Ebu wataje....hao wawili tuu ndo useme hivyo
Eli Cohen JF-Expert Member Joined Jun 19, 2023 Posts 10,715 Reaction score 33,971 Wednesday at 11:10 AM #3 Tanganyikans are not safe anymore
Bengal JF-Expert Member Joined Aug 29, 2018 Posts 25,965 Reaction score 28,291 Wednesday at 5:33 PM #4 papag said: Kwamba wote walio jiuzulu ni product ya seminari? Najiuliza wangekuwa ndio kama akina sisi ambao hatukupita huko tungeweza kuwa na ujasiri huo? Click to expand... Tutajie na seminari zenyewe na miaka waliyopitaamoo!
papag said: Kwamba wote walio jiuzulu ni product ya seminari? Najiuliza wangekuwa ndio kama akina sisi ambao hatukupita huko tungeweza kuwa na ujasiri huo? Click to expand... Tutajie na seminari zenyewe na miaka waliyopitaamoo!
Black Sniper JF-Expert Member Joined Dec 10, 2013 Posts 34,573 Reaction score 59,652 Wednesday at 5:45 PM #5 Kwa hiyo ndio unasemaje hapo? Kuwa wamesoma seminary ili wapambane na nani Hizi chokochoko hizi