FAHAD KING
JF-Expert Member
- Sep 14, 2017
- 301
- 373
Habari wana JF,
Japo ukubwa wa kichwa si ujazo wa maarifa na wingi wa maarifa tunatofautiana sasa nimeona nisijifanye mjanja sana kwa hili baada ya kunishinda.
Nimekuwa msomaji mzuri wa vitabu vya kununua lakini nikapata wazo la kusoma vingine vingi mtandaoni yaani online sasa pamoja na ujanja wangu wote nimeshindwa asee kujua jinsi ya kusomea online.
Kama kuna mtu anaweza nisaidia tafadhari naomba msaada wako asee kwangu nimefurukuta nimeshindwa.
Japo ukubwa wa kichwa si ujazo wa maarifa na wingi wa maarifa tunatofautiana sasa nimeona nisijifanye mjanja sana kwa hili baada ya kunishinda.
Nimekuwa msomaji mzuri wa vitabu vya kununua lakini nikapata wazo la kusoma vingine vingi mtandaoni yaani online sasa pamoja na ujanja wangu wote nimeshindwa asee kujua jinsi ya kusomea online.
Kama kuna mtu anaweza nisaidia tafadhari naomba msaada wako asee kwangu nimefurukuta nimeshindwa.