Tukio hili liko mubashara ITV muda huu, ukuta umeshabomolewa na sasa anasubiriwa Waziri aje kutoa mazagazaga yake ili ofisi yake na Naibu wake zipigwe chini. Source ITV breaking news!
Habari JF
Mimi ni mtumishi wa afya kama Lab scientist katika hospitali X ya mkoa Y. Hivi karibuni nimehitimu degree ya uzamili (masters) katika fani ya tafiti za afya yaani Clinical research...
Habari wadau..
Magufuli anafanya mengi sana. Nimependa wazo la kuunganisha mifuko ya hifadhi ya jamii, maana ilikuwa mingi bila sababu ma ceo wengi huku kazi ni zile zile...
Kuna ujinga mwingine...
huyu mzee alikuwa ni mtaalamu sana wa kutafsiri mikanda yaan movie, kipindi hicho ukiwa umetumwa sehem au unapita karibu na kibanda ukasikia sauti ya mkandara akisema "KATIKA JIJI LILE KUU LA...
samahani wakuu nina shida ya tv nimeona matangazo kupatana kuhusu jamaa flan wapo zanzibari naomba mawazo kwa mwenye uzoefu na kuagiza mizigo toka huko.
Natumai asilimia 80 ya wana jf humu ndani ni wanachama wa
Makundi mengi ya kijamiii
Ninaposema makundi ya kijamiii
Hapa nazungumzia ma group
Ya whatsapp ambayo upo added
Vyama vya kufa na...
Ndugu wana jf ninawasalimu wote na kuwapa pole/hongera
kwa majukumu ya kulijenga taifa letu.
Bila kupoteza muda niende moja kwa moja kwenye mada husika.
Kufuatia mjadala unaoendelea juu ya fao...
Wakuu..
Fans wa Arsenal msiwe mbogo na makamanda wenzangu msinizingue mwana w3nu; ila embu tiririka kujibu swali..
Binafsi mimi si mpenzi wa kilabu cha Arsenal washika bunduki (pyu pyu) ila ni...
Habari ya jumapili wakuu.
Sasa naanza kuamini kua Dr. Shika ni muongo na yote aliyoyasema hayana ukweli.
Hati yake ya kusafiria inaonyesha amezaliwa 31.12.1969, ni sawa na kusema amezaliwa...
-Tangu jana eneo la Mwananchi - Jiji la Mwanza hatuna huduma ya maji na MWAUWASA hawajatueleza kuwa kuna tatizo gani?. Nawashauri muwe kama wenzenu wa TANESCO ambapo kama tatizo lolote...
Habari za wakati huu!!
Jana ilikuwa ni Black Friday, na vitu vilikuwa vinauzwa kwa bei ya punguzo.
Nilipata mda wa kuperuzi kwenye Jumia online market, na bahati nzuri nikakuta kuna bidhaa...
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Japhet Hasunga (wa tatu kulia) akipata maelezo kutoka kwa Mwanafunzi wa Chuo cha Usimamizi wa Wanyamapori-Mweka, Brightone Mbilinyi kuhusu mafunzo ya...
Wataalamu wa afya wanadai kulia kwa kutoa machozi kuna faida kiafya kama kuondoa bakteria wa maambukizi machoni & kuondoa mkazo (stress), wasiwasi (anxiety) na huzuni. Kulia pia si udhaifu...
Mods mtanisaidia kuhamisha huu uzi kama hapa si mahala pake sahihi:
"Note: No one was seriously hurt in this clip."
This video is for educational purposes only as it demonstrates the real...
Wanajamii Forums heshima kwenu... Mwaka huu 2017 unaelekea ukingo, Tunamshukuru Mungu mpaka leo hii tupo salama, je kwa mwaka ujao una malengo gani umejiwekea yan kwa Mwaka 2018 Mungu akiendelea...
Wakuu, kama inavyojieleza hapo, BINAFSI, sijawahi kukutana au kuona msiba unasafirishwa kutoka mikoani, kupelekwa kuzika Dar es salaam. Je hii ni kwa sababu Dar wengi ni wahamiaji...?? Au sababu...
Wanabodi habari za Jumapili;
Niende moja kwa moja kwenye mada,mimi ni miongoni mwa waliobahatika kupata ajira katika kada hii ya afya kwa ajira zilizo tangazwa.Chuo nilicho soma tumebahatika...
Amani kwenu nyote hapa ubaoni
Huyu si kikwazo kikubwa zaidi kwa CUF kusonga mbele na kuimarika zaidi na kurudisha hadhi yake ya Chama kama zamani. Ila kwa anayoyafanya ndani ya Chama cha...
Habari.
Wadau tukutane hapa tuelekezane wapi mtu unaweza kupata elimu,ujuzi,ufundi au maelekezo ya kutosha kuhusiana na huduma inayohusiana na elimu au ujuzi ambayo mtu unaitafuta.
Mfano:
Mimi...