The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 5,456
- 17,212
Habari ya jumapili wakuu.
Sasa naanza kuamini kua Dr. Shika ni muongo na yote aliyoyasema hayana ukweli.
Hati yake ya kusafiria inaonyesha amezaliwa 31.12.1969, ni sawa na kusema amezaliwa January 1, 1970. Kwa maana hiyo Dokta ana miaka 47 na siku kadhaa.
Kwa muonekano wake tu anaonekana ana miaka zaidi ya 60. Watu wenye umri sawa na dokta wa miaka 47 hawana muonekano wa sura sawa na dokta. Dokta anaonekana ni mzee zaidi.
Sitaki kuamini kwamba dokta yuko kwenye forties, hebu jaribu kuangalia watu unaowajua ambao wana miaka 47 kama wanafanana na dokta.
Je ni kweli kua dokta baada ya kumaliza tu shule ya msingi alipelekwa Urusi kusomea udaktari.
Balozi aliekua Urusi anasema dokta alikua muajiriwa wa wizara ya afya na ndio iliyompeleka urusi kusoma, maana yake alipomaliza tu shule ya msingi aliajiriwa wizarani na mwaka huo huo akapelekwa urusi kusomea udaktari.
Sasa naanza kuamini kua Dr. Shika ni muongo na yote aliyoyasema hayana ukweli.
Hati yake ya kusafiria inaonyesha amezaliwa 31.12.1969, ni sawa na kusema amezaliwa January 1, 1970. Kwa maana hiyo Dokta ana miaka 47 na siku kadhaa.
Kwa muonekano wake tu anaonekana ana miaka zaidi ya 60. Watu wenye umri sawa na dokta wa miaka 47 hawana muonekano wa sura sawa na dokta. Dokta anaonekana ni mzee zaidi.
Sitaki kuamini kwamba dokta yuko kwenye forties, hebu jaribu kuangalia watu unaowajua ambao wana miaka 47 kama wanafanana na dokta.
Je ni kweli kua dokta baada ya kumaliza tu shule ya msingi alipelekwa Urusi kusomea udaktari.
Balozi aliekua Urusi anasema dokta alikua muajiriwa wa wizara ya afya na ndio iliyompeleka urusi kusoma, maana yake alipomaliza tu shule ya msingi aliajiriwa wizarani na mwaka huo huo akapelekwa urusi kusomea udaktari.