Malengo bora kwa mwaka 2018

Malengo bora kwa mwaka 2018

Jum Records

JF-Expert Member
Joined
Jun 30, 2014
Posts
548
Reaction score
559
Wanajamii Forums heshima kwenu... Mwaka huu 2017 unaelekea ukingo, Tunamshukuru Mungu mpaka leo hii tupo salama, je kwa mwaka ujao una malengo gani umejiwekea yan kwa Mwaka 2018 Mungu akiendelea kukupa afya njema... Binafsi kwa mwaka ujao nina lengo kuu moja tu nalo ni kununua kiwanja popote pale hapa Dsm ila nahisi Chanika ndio itapendeza zaidi.. Je wewe mwenzangu? Tiririka hapa....
 
Wanajamii Forums heshima kwenu... Mwaka huu 2017 unaelekea ukingo, Tunamshukuru Mungu mpaka leo hii tupo salama, je kwa mwaka ujao una malengo gani umejiwekea yan kwa Mwaka 2018 Mungu akiendelea kukupa afya njema... Binafsi kwa mwaka ujao nina lengo kuu moja tu nalo ni kununua kiwanja popote pale hapa Dsm ila nahisi Chanika ndio itapendeza zaidi.. Je wewe mwenzangu? Tiririka hapa....
Mwaka huu ulikuwa na malengo gani mwenzetu?yametimia?
 
Ukiandika malengo hapa kama hayatatimia vile!!!! Mleta mada buana subiri mwakani kipindi kama hichi ndio uje useme malengo uliyoweka 2017/2018 kama yametimia
 
Ukiandika malengo hapa kama hayatatimia vile!!!! Mleta mada buana subiri mwakani kipindi kama hichi ndio uje useme malengo uliyoweka 2017/2018 kama yametimia
Mkuu ya mwaka huu yametimia nashukuru Mungu, ukiweka malengo unapata ari ya kupambana kufanikisha
 
Mwakani lengo la kwanza ni kuoa.Mungu mkubwa malengo ya mwaka huu yametimia kwa 85%
 
Kwa mtawala wa sasa bora usipange mikakati yoyote , utakja kufa kwa presha bure
 
Back
Top Bottom