Hakika nimefarijika sana iwapo watatokea wapinzani wanifahamishe ugumu Wa maisha ila furaha itakuwa kubwa sana Kwa wenye Serikali (CCM) watajitokeza Kwa wangi kuielezea hii hali.
kiukweli, Airtel ni mtandao makini, baada ya kushindwa kupokelewa fedha kiasi cha laki 5 kwa mtu niliemtumia, huduma kwa wateja walifanya jitihada kubwa sana. Walinipigia simu zaidi ya mara 3 ili...
Nchi ya Tanzania itaendelea kuwa masikini paka pale atakapopatikana kiongozi Mwenye maono na hekima ya Mungu.
Haiwezekani asilimia kubwa ya watawala wetu wanategemea waganga alafu watutoe kwenye...
Sasa ashitakiwa kwa Waziri Mkuu
Ni kuhusu kusitisha nauli za kivuko
JK naye ajulishwa kuhusu mashitaka
Waziri wa Ujenzi, Dk. John Magufuli
Upinzani dhidi ya nauli mpya za huduma za...
Habari zenu wadau.
Kuna kitu huwa sikielewi Kwa hawa ma engineer wanaojenga barabara zinazokatisha katikati ya bahari .
kwetu naona iko moja tu Na siwezi sema Ni barabara lile Ni...
Hivi karibuni kumekuwa na mwelekeo wa kutokea mgomo ukiwahusisha TABOA na wamiliki daladala Dar. Punde tukasikia naibu waziri kaingilia kati na kusimamisha yaliyokuwa sheria mpya zisizohusisha...
Sijui nilini Mungu atatusaidia tupate watendaji wabunifu,leo malori yanayosubiri kuvuka mpaka kwenda nje yatanganyika yamejipannga hadi kijiji cha Ihanda km 29,ivi zile hela tulizonunulia ndege...
Naona kila mara yanapokuwepo matatizo, utasikia waziri husika amepinga kuwa taarifa flani ya uongo.
Hii imejitokeza kuanzia sekta ya afya, maji, elimu, uchumi, ulinzi nakadhalika.
Waziri wa...
Habari wakuu ,
Jana nilikuwa kwenye daladala nikielekea posta, kwa pembeni yangu kulikuwepo na mzee mmoja ambaye alikuwa anaelekea ubongo terminal ,katika kupiga story za hapa na pale yule mzee...
Wakuu nawaza kitu hapa,
Ni miezi kama mitano au minne tangu ndege yetu izuiliwe kuja kwetu kwa sababu za kisheria na madai. Nauliza tukiweka kibiashara hasara ya kutolipa na kuipata hiyo ndege...
UPDATE 1-Tanzania suffers national power outage after technical fault-supply company
By Fumbuka Ng‘wanakilala
DAR ES SALAAM, Nov 30 (Reuters) - Tanzania was hit by a country-wide blackout early...
Hii maada naipandisha kwa kero kubwa
Hapa Mwanza suala la mabinti wa chuo cha SAUT kujiuza ilikuwa kawaida sana, mtu mgeni akija, akitaka manzi wa kupozeaa anaambiwa subiri watoto wa SAUT, hasa...
MAMLAKA YA UDHIBITI WA HUDUMA ZA NISHATI NA MAJI (EWURA)
TAARIFA KWA UMMA
TAARIFA zinazosambaa kuhusu ukosefu wa mafuta hapa nchini si za kweli na mwananchi wanaombwa kuziipuuza kabisa...
Kama kichwa kinavyo jieleza hivi tanesco kuna shida gani maana si kwa mgao huu wa umeme watu tumejiajiri kwenye viwanda vidogo lakini umeme
Umekuwa shida watoto wanakufa njaa maana hakuna kazi...
Hi gt.Unashuhudia mtu anafanya sherehe kubwa inagharimu pesa nyingi eti ndoa kwisheni pati send pot
Nenda Kwa wazazi wake wana shida nyumba inavuja mapanya yanapiga mpira dalini choo kimebomoka...
Imebidi niulize hili kwasababu awamu zilizopita tuliona maraisi wakitoa msaada wa vyakula kwa watoto yatima kwa maandalizi ya sikukuu mbalimbali.......Kama mh kasahau inabidi akumbushwe na...
MGOMO mkubwa wa mabasi ya abiria umeitikisa nchi na kuilazimisha serikali kusitisha kwa muda amri yake ya kuwatoza asilimia tano wasafirishaji wanaozidisha uzito.
Idadi kubwa ya mabasi ya abiria...
Katika hotuba ya kuapishwa raisi wa Kenya ameongelea swala la ushirikiano Africa Mashariki, kama ni mfuatiliaji wa mambo utagundua hii sio mara ya kwanza bali imekuja tu kwa namna tofauti kulikuwa...