A Albizo JF-Expert Member Joined Apr 1, 2012 Posts 284 Reaction score 208 Jan 7, 2018 #1 Habari zenu wadau? naomba kufahamishwa, Kama mtu akiwa na Kiwanja sqm400 ataweza kujenga nyumba ya familia ya namna gani na space ikabaki?
Habari zenu wadau? naomba kufahamishwa, Kama mtu akiwa na Kiwanja sqm400 ataweza kujenga nyumba ya familia ya namna gani na space ikabaki?
Zero IQ JF-Expert Member Joined Dec 21, 2016 Posts 13,985 Reaction score 25,201 Jan 7, 2018 #2 Subiria wajuvi watakuja tu