Wataalum wa Masuala ya Kodi (TRA) Msaada Tafadhali

Wataalum wa Masuala ya Kodi (TRA) Msaada Tafadhali

Kaudunde Kautwange

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2011
Posts
1,695
Reaction score
1,772
Habari...

Naomba niende kwenye mada moja kwa moja.

Ukiwa mfanya biashara, mfano unamiliki duka la simu, Na simu unaagiza Toka China.

Je, wakati wa kuagiza simu si kuna koda ambazo TRA watataka ulipe.

Na huku kwenye biashara yako, Je si utatakiwa ulipe Kodi ya biashara yako (kumbuka biashara ni hiyo hiyo ya simu).

Je hivi ndivyo ilivyo au Mimi uelewa wangu mdogo?

Na kama ndivyo, je hii siyo double taxation kweli?

Je, Na wale ambao utakuta wanauza vitu bei sawa au karibia Na zile za mfano China, wanapataje faida as far as the same system ya Kodi niliyoelezea hapo Juu inahusika?

Ahsante, Na karibuni kwa michango.
 
Habari...

Naomba niende kwenye mada moja kwa moja.

Ukiwa mfanya biashara, mfano unamiliki duka la simu, Na simu unaagiza Toka China.

Je, wakati wa kuagiza simu si kuna koda ambazo TRA watataka ulipe.

Na huku kwenye biashara yako, Je si utatakiwa ulipe Kodi ya biashara yako (kumbuka biashara ni hiyo hiyo ya simu).

Je hivi ndivyo ilivyo au Mimi uelewa wangu mdogo?

Na kama ndivyo, je hii siyo double taxation kweli?

Je, Na wale ambao utakuta wanauza vitu bei sawa au karibia Na zile za mfano China, wanapataje faida as far as the same system ya Kodi niliyoelezea hapo Juu inahusika?

Ahsante, Na karibuni kwa michango.
Mimi nitakujibu kama una-operate as a limited company na umesajiliwa VAT
Ukiagiza mzigo utalipa import duty na VAT
Ukienda kuuza kila mwezi utatakiwa upeleke VAT TRA kulingana na ulivyouza. Kabla ya kupeleka hio VAT unatakiwa utoe VAT uliolipa wakati unaingiza mzigo.
Kodi unayotakiwa kulipa ni corporate tax ambayo ni 30% ya faida yako kwa mwaka huo wa fedha.
Kwahio mwisho wa mwaka unachukua mapato unatoa gharama zote ulizoingia wakati unafanyabiashara kitakachopatikana kama faida unawapa TRA 30%
 
Mimi nitakujibu kama una-operate as a limited company na umesajiliwa VAT
Ukiagiza mzigo utalipa import duty na VAT
Ukienda kuuza kila mwezi utatakiwa upeleke VAT TRA kulingana na ulivyouza. Kabla ya kupeleka hio VAT unatakiwa utoe VAT uliolipa wakati unaingiza mzigo.
Kodi unayotakiwa kulipa ni corporate tax ambayo ni 30% ya faida yako kwa mwaka huo wa fedha.
Kwahio mwisho wa mwaka unachukua mapato unatoa gharama zote ulizoingia wakati unafanyabiashara kitakachopatikana kama faida unawapa TRA 30%
Shukrani boss...
 
Back
Top Bottom