Nina wazo la kutengeneza biashara/ajira

Nina wazo la kutengeneza biashara/ajira

Bornventure

JF-Expert Member
Joined
Jan 29, 2017
Posts
529
Reaction score
523
Nipo mbeya mjini. Ila huko kyela Nina eneo kubwa zuri tu lipo barabarani , barabara inayoelekea Matema beach ambayo kwa sasa ipo katika hatua za mwisho za kuwekwa lami . katika kiwanj a kuna maji pia umeme ni umbali wa kama km 12 kufika ziwa Nyasa matema beach pia ni umbali wa kama km 35 kutoka kyela mjini. Ktk utafiti wangu nimeona ktk eneo lote linalohusisha kata kama 3 hivi au zaidi hakuna NURSERY SCHOOL kabisaa . na uhitaji wa huduma hii ni mkubwa saana . Mimi professionally ni mwalimu ila sina capital kuanzisha hiyo shule Naomba kama kuna watu mwenye interest na hii biashara tuwasiliane Mimi nitatoa hili eneo . karibuni
 
Fuga tuu nursery kwa wanyaki never kwanza hawatakulipa utaskia mwanitu yulee muleke
 
Nursery utaingia hasara maeneo hayo, Fanya shughuli nyingine ndugu.
 
Wenye akili na uwezo watakutafta kaka, ila vile vile Subr kukatishwa tamaa na watu wenye akili kama nilizokua nazo mwaka jana
 
wewe kweli uwezo wako wa kufikiria mdogo.... unategemea kuanzisha nursery school huko vijijini ? nani mwenye uwezo huo na walishaambiwa shule za serikali ni bure ? huko vijijini mzunguko wa pesa upo chini sana, kwa kipindi hiki sijui wanapumulia nini maana wa mjini hali ni tete pia...
moja ya biashara ambazo nazo naona zimeanza kuwa bomu ni nursery school/day care centre, hiii biashara kwa mjini imekua fashion, ukipita nyumba nne tano tayari kuna kishule, wanafunzi jumla 30, hapo kuna gharama za umeme, wafanyakazi, mafuta (unakuta mmiliki ana super custom mbovu mbovu), akipiga hesabu kwa mwezi ni hasara tupu au unakuta faida amna...

wanaofanikiwa kwenye nursery school ni wenye mitaji ya kutosha na kuweka uwekezaji unaoeleweka, ila sikutishi ndugu kwa kijijini wachana na hii mambo, buni mradi mwingine kama ufugaji, kilimo n.k
 
No kama nilivosema awali, demand ni kubwa na mwamko pia wa elimu mkubwa tu. Kwani kuna jamaa alifungua nursury sehemu ambapo ndo pana la mji flani ( ipinda) anawanafunzi mpaka umbali wa km 20 kutoka shule ilipo uwa anazunguka na gari kuwafuata na kuwarudisha . kwahiyo watu wanatamani ingekupwepo while karibu ingewasaidia zaidi kuliko hali ilivyo sasa.
 
Back
Top Bottom