Mshahara wa TZS kwa mwezi unaweza kukushawishi kufanya kazi Ulaya?

Hivi punde

JF-Expert Member
Apr 1, 2017
2,554
8,552
Pole na majukumu ndugu zangu.

Wengi huwa wanatamani sana kufika na ama kufanya kazi nchi za magharibi hususani nchi za Bara la Europe. Amerika na Asia. Hap nazungumzia hasa wale Watanzania ambao hata border hawajawahi kuvuka.Ambao hata hapo Kenya hawajawahi toboa!

Utasikia tu 'Ulaya Ulaya...mara napenda kufanya kazi Ulaya'.

Sasa basi tuwekane wazi hapa.

Mshahara wa TZS ngapi kwa mwezi (ukiondoa makato ya kodi nk) utakushawishi wewe mtanzania mwenzangu kufanya kazi Ulaya?

Karibuni
 
Tuondolee uchuro wako hapa!!,unataka kujua maisha ya watu pimbi wewe!!
 
acha wivu wa kishamba... kuna mwenzio kaanzisha uzi katusua kwenda ukraine kataja na kiasi anacholipwa imekuwa nongwa...... usikute hata hapo ulipo huna take home 600k.....
kumbuka meals and accomodation ni free, na yupo nchi za watu, zile spending zisizo na ulazima hafanyi, anaweza kujibana aft five yrs akatusua. endelea kujambia masofa ya shemeji ako na kitekno chako fursa ikufuate hapo. mijitu baada ya kupeana moyo inaponda, huu uzi umeuanzisha kinafki.

sikia nikwambie, safari moja huanzisha nyingine, hapo alipo anafanya kazi kwa masaa kadhaa kisha anatoka, anao muda wa kutafuta job nyingine ya part time pia ikamuingizia kipato huku akiendelea kusoma raman nyingine akiwa huko......
wewe endelea kuponda, fursa haiji ukiwa umekaa haijalishi una elimu gani, pambana rizika na unachopata fursa zitakuja tu.
 
acha wivu wa kishamba... kuna mwenzio kaanzisha uzi katusua kwenda ukraine kataja na kiasi anacholipwa imekuwa nongwa...... usikute hata hapo ulipo huna take home 600k.....
kumbuka meals and accomodation ni free, na yupo nchi za watu, zile spending zisizo na ulazima hafanyi, anaweza kujibana aft five yrs akatusua. endelea kujambia masofa ya shemeji ako na kitekno chako fursa ikufuate hapo. mijitu baada ya kupeana moyo inaponda, huu uzi umeuanzisha kinafki.

sikia nikwambie, safari moja huanzisha nyingine, hapo alipo anafanya kazi kwa masaa kadhaa kisha anatoka, anao muda wa kutafuta job nyingine ya part time pia ikamuingizia kipato huku akiendelea kusoma raman nyingine akiwa huko......
wewe endelea kuponda, fursa haiji ukiwa umekaa haijalishi una elimu gani, pambana rizika na unachopata fursa zitakuja tu.
Mtoa mada sijui kala maharagwe ya wapi huyu ?,mi mwenyewe nilijua tu uzi anamdisi mwanaume mwenzie,aibu kweli badala ya vijana kupeana moyo ,tunakatishana tamaa
 
Back
Top Bottom