Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

. Na SANGU JOSEPH . . Imekua ni utamaduni wetu wa kawaida kwa Watanzania pamoja na waafrika kwa ujumla kulalamikia watu wanaotusema vibaya au kututendea mambo tusiyoyapenda kuyasikia na yenye...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wengi wa vijana wa zamani waliosoma mpaka kidato cha sita na wale waliopata kozi mbalimbali za Diploma na shahada walipitia kwanza JKT ili kujenga uzalendo,elimu ya kijeshi kidogo,ukakamavu na...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Jshi la polisi mkoani Mwanza linamshikilia mkazi wa kijiji cha Kanyara wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza kwa kukutwa na nyara mbalimbali za serikali, yakiwemo magamba 40 ya mnyama aina ya...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
http://parliament.go.tz/polis/uploads/bills/1512995101-A%20Bill%20Public%20Service%20Pension%20Fund.pdf
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Huko mikoani kwakweli ikifika saa 4 usiku ni nadra sana kukuta watu wakiwa bado wanapilika; ukiachana na wale rafiki zetu wanaoongoza kwa kulipa kodi (walevi) Lakini watu wengi huanza kulala...
24 Reactions
169 Replies
11K Views
Yaani ukitazama thread nyingi na ata wachagiaji wengi kwenye mada zao utakuta wakina dada au wanawake wanawacoment kwa Negative sana , Sijawahi ona jema ata moja la hao wakina dada likisemwa...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Yawezekana ulikuwa na malengo biashara, kilimo, ufugaji na shughuli nyinginezo za kimaendeleo Ila ukashindwa kuanza au kuendeleza kutokana na sababu mbalimbali kama vile kukosa mtaji, kukatishwa...
0 Reactions
2 Replies
700 Views
Madini ya Tanzanite yenye thamani ya sh bilioni 1.84 yameuzwa kwenye mnada wa tatu wa kimataifa wa madini uliofanyika mji mdogo wa Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara. Kamishna wa madini...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Katika ukurasa wa Yericko amelipoti kwamba: "Leo nimekutana na kaka mkubwa kamanda wa Anga, Mwenyekiti wa Chadema Taifa na Kiongozi wa Upinzani Bunge Mh Freeman Mbowe. Tumezungumza mengi kwa...
4 Reactions
21 Replies
3K Views
Nauliza hili kwenu mamlaka ya Ewura mnisaidie kwasababu huku Mtongani na kuelekea Ununio bei ya gesi ya mihan mtungi wa kati ni shilingi elfu hamsini sawa na bei ya oryx! Maeneo ya Mkwajuni...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Ndugu zangu habarini za muda huu. Ni vyema kufuta mikosi yote iliyotokea kipindi cha nyuma kwa dhamira zetu au dhamira za shetani ili Mungu akitujalia tumalize mwaka salama na tuanze mwaka mpya...
1 Reactions
0 Replies
671 Views
Tundu Lissu, Mbunge wa Singida Mashariki anaongea na Azam TV ikiwa ni mara kwanza kuhojiwa na televisheni tangu aliposhambuliwa kwa risasi mjini Dodoma Septemba 7. Amelazwa kwa zaidi ya miezi 3...
3 Reactions
105 Replies
14K Views
Naamini wanaJF wrote mko salama na kwa wale wagonjwa mungu awaponye upesi. Swali langu kwa wale waliokwisha jenga, ninataka kuezeka nyumba yangu lakini nipo njia panda. Je kuezeka kwa bati ya...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Nimeshangazwa sana na ulinzi ambao kiongozi wa kanisa la Efatha Ministry alivyokuwa na ulinzi wa kutisha. Amekuja hapa songea kwenye msiba wa dadake na walinzi lukuki wenye miwani nyeusi kama wale...
9 Reactions
129 Replies
32K Views
Hello JF, leo nimewaza, hivi wakuu wetu wa mikoa wameelimika kwenye course gani? ningependa kujua watu hawa huwa wanaangaliwa kwa vigezo vipi? Mie nadhani watendaji wa halimashauri na wakuu wa...
2 Reactions
28 Replies
2K Views
Habari wana jamii mm ni mkazi wa dsm ila ni mwenyeji wa mwanza naulizia ni kampuni gani ya bus ina hadhi ya juu inayo fanya safari zake dsm to mwanza na nauli zao ni ngap? Sent using Jamii Forums...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Matukio 10, niliyoyafanya 2017 yakaleta athari (impact 2017) katika jamii yangu 1.Ni juu ya madawa ya kulevya siku ,nakumbuka tarehe 4 na tare 5 mwezi wa kwanza nilitenga siku hizi 2,kufanya...
0 Reactions
0 Replies
935 Views
Je, ni halali kutoa fedha kwa ajili ya huduma uliyopewa katika ofisi za umma? Kuna baadhi ya ofisi(Taasisi) zinatoza fedha kwanza ndiyo ziweze kukuhudumia, hasa pale panapohusu kusainiwa nyaraka...
1 Reactions
2 Replies
931 Views
Hodi jamvini kwa kweli lazima niseme ukweli sauti ya mtangazaji Da Zuu wa cloud radio. Naipenda sana anapo tangaza natamani aendelee kwa wale mlio karibu naye mfikishieni salam zangu. Toa hisia...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Wakuu, Nipo katika foleni kubwa mno karibu na Daraja la Kibamba. Nimeambiwa kuwa kuna ajali mbaya ya magari mawili yaliyogongana. Yasemekana kuna waliopoteza maisha na majeruhi. More to come...
1 Reactions
30 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…