Je, ni halali kutoa fedha kwa ajili ya huduma uliyopewa katika ofisi za umma?
Kuna baadhi ya ofisi(Taasisi) zinatoza fedha kwanza ndiyo ziweze kukuhudumia, hasa pale panapohusu kusainiwa nyaraka zako na kugonga mhuri wa taasisi hiyo. Je, hii siyo rushwa?
Taasisi zisizojihusisha na rushwa hizo ni SHULE. Sijawahi kuona MWL. MKUU /MKUU WA SHULE anaomba anauliza kwanza kama una shilingi ili akuhudumie. Karibu kwa maoni.
Kuna baadhi ya ofisi(Taasisi) zinatoza fedha kwanza ndiyo ziweze kukuhudumia, hasa pale panapohusu kusainiwa nyaraka zako na kugonga mhuri wa taasisi hiyo. Je, hii siyo rushwa?
Taasisi zisizojihusisha na rushwa hizo ni SHULE. Sijawahi kuona MWL. MKUU /MKUU WA SHULE anaomba anauliza kwanza kama una shilingi ili akuhudumie. Karibu kwa maoni.