Mungu Mweusi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 1,474
- 1,088
Naamini wanaJF wrote mko salama na kwa wale wagonjwa mungu awaponye upesi. Swali langu kwa wale waliokwisha jenga, ninataka kuezeka nyumba yangu lakini nipo njia panda. Je kuezeka kwa bati ya Simba dumu Geji 28 au kuezeka kwa bati ya Alaf ya rangi Geji 30 kipi Bora? Je ni rangi au ubora wa bati?