Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Sasa hawa Wafia Dini wa hizi Dini mbili kongwe wanavyopigana kumbe muhusika Mungu mwenyewe hana Dini na hawa wanasiasa wanaojinasibisha na Mungu kumbe wala haya hayupo huko na Mungu hapiganiwi...
1 Reactions
9 Replies
53 Views
Anonymous
Mdogo wangu wa darasa la tatu amefanyiwa ukatili wa kuingiliwa mbele na nyuma na mtu ambaye kwa sasa yupo nje kwa dhamana na tunaona dalili ya kutotendewa haki kutoka kwa mamlaka zinazohusika...
12 Reactions
108 Replies
2K Views
Habari wanajukwaa. Nimekuwa nikisikia hii kauli mara nyingi kuwa walimu hawazeeki tena wanasema hasa wa shule ya msingi, kwa sehemu mimi pia nilikuwa naiamini ila nadhani haina ukweli. Nitaelezea...
14 Reactions
82 Replies
577 Views
Anonymous
Hapa kijijini kuna mfugaji yupo juu ya sheria na kijiji kinaonekana kimeshindwa kumdhibiti, sheria ya kijiji cha bonye inamtaka kila mmiliki wa ng’ombe asizidishe ng’ombe zaidi ya 10 , jambo la...
2 Reactions
2 Replies
91 Views
Mara baada ya kusoma kwa umakini mkubwa sana uzi unaohusu kuita jini na kulitumia vile ambavyo unataka nilitokea kuvutiwa sana na ule uzi. nikawaza sana kwamba kama nikifanikiwa kumiliki ata...
4 Reactions
27 Replies
376 Views
UPANUZI NA UBORESHAJI WA BANDARI YA DAR ES SALAAM MAMBO YAZIDI KUNOGA UJENZI WA MATENKI YA KUPOKEA NA KUHIFADHI MAFUTA WAFIKIA ZAIDI YA ASILIMIA 52. Mradi huu Utagharimu kiasi cha Shilingi...
0 Reactions
0 Replies
35 Views
Ule msemo wa wadhungu 'you are what you eat' ni kweli kabisa... muonekano na afya yako vinaendana na tabia zako za kula - espesheli aina ya vyakula unavokula. ukila haraka haraka bila kutafuna...
3 Reactions
34 Replies
343 Views
Mafundisho makuu ya Yesu Kristo ni Upendo. 1. Kuwapenda jirani kama unavyojipenda mwenyewe 2. Kuwapenda na kuwaombea maadui zako. 3. Ukipigwa shavu moja ugeuze na lingine 4. Kusamehe saba...
3 Reactions
14 Replies
68 Views
Tunapo endelea kutafakari matukio yakuogofya yanayo endelea kutokea duniani tusisahau kujitakasa miili na roho zetu ili muda utakapofika tufae mbele zake. Kujitakasa ni kujiweka mbali na dhambi...
2 Reactions
0 Replies
25 Views
Miaka kadhaa iliyopita, wakati tukiwa mdogo na marafiki zangu wengi , miongoni mwa rafiki yangu wa karibu sana huyu ndugu yangu wote tumezaliwa mwaka mmoja tofauti ni tarehe na miezi...
0 Reactions
1 Replies
45 Views
Kuna siku moja ambayo kila mwanadamu duniani ataamka na kugundua kuwa safari yake imefika mwisho. Siku hiyo haitajali una pesa kiasi gani. Haitajali una magari mangapi. Haitajali una nyumba...
4 Reactions
15 Replies
166 Views
Ukarabati na Upanuzi wa Uwanja wa Ndege wa Kigoma umefikia zaidi ya asilimia 67. : πŒπ‘π€πƒπˆ 𝐖𝐀 πŠπˆπŒπŠπ€πŠπ€π“πˆ π”ππ€πŽπ…π”ππ†π”π€ π‹π€ππ†πŽ π‰πˆππ˜π€ 𝐋𝐀 ππˆπ€π’π‡π€π‘π€ 𝐍𝐀 π”π“π€π‹πˆπˆ Huu ni miongoni mwa Miradi ya kimkakati...
0 Reactions
0 Replies
42 Views
1.AMANI YA NCHI YETU 2.UMOJA WA KITAIFA 3.TUOMBE KWA AJILI YA VIONGOZI WETU 4.UCHUMI WA TAIFA 5.UTAWALA WA HAKI NA SHERIA Chochote Mungu atakachokuongoza kuomba KWA AJILI ya NCHI yetu omba mana...
3 Reactions
35 Replies
202 Views
Naweza kusema kwamba Mh. Jakaya bwana enzi zake watu walikuwa huru sana, Huyu mzee bwana licha ya mapungufu yake, kuna vitu alifanya watu nadhani mpaka kesho watamkumbuka na kumuheshimu. Picha...
3 Reactions
2 Replies
64 Views
Wakuu kumekucha.Kuna ishu Moja hapa ngoja niiseme hapa mnishauri.Kuna bibi Mmoja hivi hapa jirani nilipopanga. Huwa tukionana tunasalimia fresh mambo mengine yanaendelea Kuna muda ananiomba...
0 Reactions
3 Replies
402 Views
Kuna maisha baada ya kufa, au tukifa ndiyo mwisho wa kila kitu? Hili ni swali ambalo limekuwa likiwagawa watu kwa karne nyingi. Wapo wanaoamini kuwa kifo ni mwisho wa kila kitu, hakuna fahamu...
7 Reactions
59 Replies
829 Views
Rais wa Kenya, William Ruto, ameagiza kuanza kwa operesheni ya nchi nzima dhidi ya raia wa kigeni wasio na vibali na wanaoendesha biashara ndogo ndogo, maduka ya rejareja, vibanda na biashara za...
1 Reactions
1 Replies
64 Views
Tarehe 13/3/2018 nilisikiliza taarifa ya habari saa mbili usiku kutoka startv. Habari ilisema kwamba wafanyabiashara wanalalamika kwa kunyanyaswa wakikutwa na mabondo na hutozwa faini ya sh...
3 Reactions
32 Replies
19K Views
Moja ya njia halali wanayotumia wanawake kufanikiwa ni kutumia nyota za wanaume kwa njia halali mfano kuna wanawake wanaingia kwenye mahusiano na watu maarufu baada ya mda nawao wanakuwa maarufu...
2 Reactions
7 Replies
56 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…