Mbunge wa Nzega Mjini Hussein Bashe, amechachamaa kwa kukosa maji jimboni kwake ilhali wananchi wamelipa bili za maji, hivyo ameamua kumwandikia barua Mheshimiwa Rais kuhusiana na shida hiyo...
Ninasema walibakwa kwa sababu mahakama ilidhibitisha pasina shaka.
Nachotaka kujua watu hawa wako wapi,wanafanya nini na wamechukuliaje msamaha wa Rais ikiwa pamoja na mwaliko wa wabakaji wao...
Maisha ya shule za Bweni ama Boarding kwa lugha ya kiingereza, ni sehemu ambayo imewajenga ama kuwabomoa watu wengi waliowahi kuyaishi.
Katika Thread hii ningependa tukumbushane visa,mikasa na...
Habari wakuu..
Siku moja Mwishoni mwa mwaka Jana kama kawaida nilitoka zangu kwenda kwenye mihangaiko yangu ya kila siku mara nyingi huwa nnakawaida muda wa kurudi nikitoka job huwa napitia bar...
Kuna haja ya serikali kumchunguza nabii Titto kama inavyomchunguza Askofu Kakobe ili kubaini kama pombe anazokunywa hadharani kila kukicha anazinunua kwa fedha za sadaka au ana chanzo kingine cha...
Kwa msisitizo na malengo madhubuti ya urusi ya kutaka kumaliza vikundi vya waasi na kukomesha mashambulizi ambayo hufanywa na marekani na washirika wake urusi imeamua kupeleka mitambo ya kisasa...
Wale wa kuingia na kutoka Tabata tafuteni njia mbadala kwa muda huu maana tairi za train zimehama na kusababisha train kuziba barabara ya kuelekea Tabata.
Mkazi mmoja wa mkoa wa Mwanza amefariki dunia baada ya kuigonga ndege ya FastJet iliyokuwa ikiruka katika uwanja wa ndege wa Mwanza kuelekea Dar es salaam.
Akizungumza na Mwananchi leo Januari...
Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi Mkoani Songwe limetoa masaa 72 kwa watendaji 37 kutoka katika kata 15 wawe wamewasilisha kiasi cha milioni 73 walichokusanya kama mapato...
Wadau katika kuhangaika kwangu,nimeangukia katika hii video ya huyu dada ambae anaitwa Susan Michael aka Prettykind’,hii video nimeshindwa kuitolea jawabu lakini naona huyu dada ni shujaa sana...
Kumekua na imani na theories mbali mbali kuelezea maisha ya mwanadamu baada ya kifo. Kila mtu anaamini ktk chake kutokana na alivyoaminishwa.
Huko kwetu uchagani, ipo imani kuwa mtu akifa...
Nimekuwa nasikia jina la huyu jamaa Jidula Mabambasi kwa siku nyingi lakini sijapata jibu sahihi.
Naombeni mnijuze huyu jamaa alikuwa ni nani, na pia ni nini kilimuua ghafla miezi michache kabla...
Habarini zenu wakuu.
Hili swali nimekuwa nikijiuliza sana, kuna takwimu zinatolewa za umri wa kuishi sitaki kufanya marejeo hapa maana ni kitu kinachofahamika sana.
Ninachoomba kufahamishwa...
Polisi nchini Cyprus wanasema wanamshikilia raia mmoja wa Israel anayetuhumiwa kufanya biashara ya viungo vya binadam.
Moshe Harel amehusishwa kufanya biashara ya figo kwa matariji wa Israel...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.