Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 22,906
- 27,784
Huu ndiyo uhuru wa kuabudu, kubusu western wall au kubusu al Kaaba yote ni sawa tu.
-----------------
Na baada ya Kenya kuweka ukaribu na Israel, na kuwa juu sana hapa Africa Mashariki na kati. Basi Jamhuri ya ki demokrasia ya Kongo nayo haikukaa mbali.
Siku ya jana Raisi wa Kongo Félix Tishsekedi aliwasili nchini Israel na kukutana na Raisi wa nchi hio Isaac Herzog, pamoja na Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu na viongozi wengine, na kujadili mambo yatakayo nufaisha mataifa hayo yote mawili.
Yani, muda ambao mataifa ya Waarabu yakipambana kuichafua Israel, basi ndipo wanapozidi kung'aa hadi kuwapita hao Waarabu.
Na sasa hivi ndio wakati ambao Israel imezidi kupata washirika wengi kutoka kwenye kila kona ya dunia, na mambo mazuri zaidi yanakuja. Naaam.
-----------------
Na baada ya Kenya kuweka ukaribu na Israel, na kuwa juu sana hapa Africa Mashariki na kati. Basi Jamhuri ya ki demokrasia ya Kongo nayo haikukaa mbali.
Siku ya jana Raisi wa Kongo Félix Tishsekedi aliwasili nchini Israel na kukutana na Raisi wa nchi hio Isaac Herzog, pamoja na Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu na viongozi wengine, na kujadili mambo yatakayo nufaisha mataifa hayo yote mawili.
Yani, muda ambao mataifa ya Waarabu yakipambana kuichafua Israel, basi ndipo wanapozidi kung'aa hadi kuwapita hao Waarabu.
Na sasa hivi ndio wakati ambao Israel imezidi kupata washirika wengi kutoka kwenye kila kona ya dunia, na mambo mazuri zaidi yanakuja. Naaam.