Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Usikute huyu abuduli ni vice president kivuli sisi wananchi hatujui. Maana si mara moja si mara mbili anamuwakilisha Samia huko nje ya nchi licha ya kutotambulika serikalini. Sasa je kama jamaa...
11 Reactions
21 Replies
327 Views
4 Reactions
11 Replies
265 Views
Wayebusi ni Jamii ambayo imekuwepo miaka na miaka ila halitambuliki sana kwa watu wengi na Serikali halikubaliani kabisa na hii Jamii ya Wayebusi. Ila kwa sasa inazidi bakiwa na watu wachache...
4 Reactions
17 Replies
291 Views
Katika watu waliomtosa SSH ,msimsahau Kinana .
3 Reactions
8 Replies
769 Views
Binadamu tunahangaika sana na utafutaji na dunia.Tunafikia nafasi za kufanikiwa kisha tunasahau kuishi. Katika pitapita zangu huko INSTAGRAM nimekutana na hii project "BOYS MENTORSHIP SURVIVAL...
3 Reactions
3 Replies
89 Views
Kuna vitabu viliondolewa kwenye Biblia tunayoitumia leo wakati wa mchakato wa kukusanya maandiko karne nyingi zilizopita. Kati ya hivyo, Kitabu cha Henoko (The Book of Enoch) ndicho chenye siri...
4 Reactions
15 Replies
552 Views
Rafiki yangu mmoja aliniuzia kifaa cha kieletronic wakati nanua hicho kifaa kwanza nilivyokipokea sikukielewa kwa sababu sijawai kukiona watu wengi wakikitumia, pili muonekano wake haukuwa kama...
0 Reactions
4 Replies
92 Views
Nimeshtushwa na ulinzi wa namna ile tena kwa Daktari anayekutana na watu kila uchwao. Kuonana na Profesa Janabi ambaye ni Mkuu wa Taasisi ya Moyo Muhimbili - Jakaya Kikwete Cardiac Institute...
44 Reactions
373 Replies
60K Views
Nini maana ya Shukrani? Kumekuwa na maswali mengi kwa watu juu ya kumshukuru Mungu na kila mmoja anasema yake Kumshukuru Mungu ni zaidi ya kutoa sadaka, ingawa kumshukuru Mungu kunaambatana na...
1 Reactions
0 Replies
24 Views
Viongozi wa Serikali, sekta sekta binafsi na wadau wa teknolojia wametoa wito wa kuongeza uwekezaji kwa vijana katika ubunifu na ujuzi wa kidijitali ili kuiwezesha Afrika kutoka katika utegemezi...
0 Reactions
0 Replies
18 Views
Kitu kinachokufelisha wewe kuyafikia malengo yako na mafanikio yako ni TABIA ZAKO! The Mind Game Control Wengi wetu tunapenda kulaumu uchumi, serikali, ndugu zetu, au hata bahati mbaya pale...
9 Reactions
23 Replies
270 Views
1. Kwanza itaboresha ufanisi wa kazi maofisini. Wafanya kazi watawahi kuwahudumia watanzania. 2. Itaongeza kipato kwa wafanyabiashara kwani watahi kufungua biashara zao na kama kuna...
1 Reactions
1 Replies
29 Views
  • Redirect
2 Reactions
Replies
Views
Nauliza TU. Yani na yeye siku aamke asubuhi ajikute hana cheo chochote kile. britanicca
4 Reactions
7 Replies
222 Views
Ipo hivi tumepanga maeneo ya ushuhani kidogo hapa darisalama, sasa asubuhi tunavyoenda kibaruani wife huwa anawahi kidogo kuliko mimi. Sasa kila anapotoka huwa namchungulia dirishani namuona...
22 Reactions
166 Replies
2K Views
Unawakuta barabarani wanapungia mikono sijui wanafanyeje Kwa mabasi ya mikoani ama magari binafsi,then yule dereva nae anamulika mataa kama ana-blink. Ni Nini?
5 Reactions
13 Replies
268 Views
Nimesoma machapisho mengi sana kuhusu domestication of animals, lakini bado... Hebu nifafanulieni kwa lugha rahisi jinsi wanyama walivyoanza kufugwa. Cc Interlacustrine R
2 Reactions
54 Replies
308 Views
Anonymous
Tunapongeza jitihada za ujenzi wa barabara zetu, hususani mijini. Lakini tatizo linakuja kwenye quality control. Barabara nzuri inakamilika, halafu unawekewa speed bump ya kijinga kama kichuguu au...
1 Reactions
0 Replies
33 Views
Mtawala asipokupenda tu kichwa kinawekwa juu ya mkuki iwe fundisho kwa wengine 😂😂🙌 Waliowahi kuiona watanielewa😂 Ni mwendo wa kuwindana na kukaa kimachale machale sana.
3 Reactions
3 Replies
44 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…