Zack Abdul
JF-Expert Member
- Mar 9, 2026
- 532
- 506
Duuuh ! kama ni fake basi DW watakuwa wameumbuka kisawasawa maanake walikuwa wanatangaza na hata kuwahoji watu ndani ya TZ kwa mbwembwe na shangwe
wametangaza saa ngapiDuuuh ! kama ni fake basi DW watakuwa wameumbuka kisawasawa maanake walikuwa wanatangaza na hata kuwahoji watu ndani ya TZ kwa mbwembwe na shangwe
Sema hii imepangwa vizuri kuliko ya Nchimbi
Ukwelu humweka huru binadamu yeyote.
Anza kuulzia Kodi ya chumba Burundi mzeeAkijiuzulu nitahamia Burundi.