Kufuatia kauli ya Waziri wa Tamisemi Mh. Jafo kutishia kuwanyang'anya 50.9 billion za mradi wa ujenzi wa kituo cha mabasi mbezi luguruni kisa uongozi bado unavutana!!!!!!!
Nimejiuliza hivi kweli...
Wadau Amani iwe nanyi!
Nimependezwa zaidi Asubuhi hii kuwajulisha na kuwakumbusha maandiko matakatifu yanayopatikana katika Biblia, yanayoelezea sauti ya mtu aliae nyikani.
Mtu huyu siyo...
Wakuu wa shule zinazomilikiwa na Jeshi la Wananchi (JWTZ)wametakiwa kuboresha uendeshaji wa shule hizo ili kuendana na kasi ya Serikali
Pia wametakiwa kufanya hivyo ili kukidhi mahitaji na...
Pengine ningeanza kwa kuuliza hivi Kardinali Pengo hana taarifa kuhusu tukio hili? Je, vipi Kakobe (mzee wa kula bata Ikulu), vipi kuhusu yule Shehe maarufu wa Dar es Salaam?
Ni kama utani vile...
Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk Hamisi Kigwangalla amesema Serikali haitaruhusu tena usafirishaji wa wanyama pori hai kutoka Tanzania kwenda nchi nyingine
Waziri Kigwangalla amesema wanaenda...
Serikali iliamua kuanzisha shirika la kuendeleza viwanda vidogo (SIDO) kwa lengo la kuwasaidia wananchi wajikwamue kiuchumi kwa kuzalisha bidhaa zao ndogondogo za matumizi ya kilasiku.
Kutokana...
Habari wakuu!
Kwa yoyote anaejua,naomba kujuzwa,Cameroon Embassy ipo eneo gani Dar es salaam(location).
Kama una details zaidi,kuhusu visa fees,requirements...itanisaidia...
Shirika la umeme nchini (Tanesco),mkoa wa Arusha limewakamata Raymond Slivere na mfanyakazi wake Wilson Lukumay,kwa madai ya kujiunganishia umeme kinyume cha sheria na kuutumia.
Wadau,
Ni kweli inaingia akilini kwa kukamatwa mzazi wa mtoto aliyechinjwa nakutolewa viungo kwa minajili ya kuisaidia Polisi?
Na shindwa kuelewa kwanini Polisi hawapelekwi mafunzo ya upelelezi...
Naam na yawe mambo 8...
Mods msiunganishe uzi huu.
Haniu fanya yafuatayo:-
1. Programming - Channel hii ina vipindi vingi local labda kuliko channel yoyote ya TV Tanzania lakini vipindi...
Wataaalamu wa Kufikiri,tujadiliane hivi:
Si lazima Mungu awatokeeni Spika Ndugai na Mbunge Msukuma katika maisha yao physically kama ilivyotokea kwa mama Bikra Maria au Zakaria (mzazi wa Yohana...
Leo tarehe 07/02/2019 asubuhi ktk ukumbi wa mkapa uliyoko mbeya mjini, kulikuwa na kikao kati ya madereva boda boda na mkuu wa wilaya ya mbeya mjini pamoja na mkurugenzi wa jiji.
Kikao hicho...
Hii inaitwa Mwana ukome..Tabata mmetisha..mnapata hela wapi wenzetu..bar zimetapika..40/40..pale Tabata bima..njoo the great park pale barakuda ni nyokooo..hata sehem ya kisigino hakuna.
Pita...
Dunia kuna mambo! Babu mmoja aliyejulikana kwa jina la Dotto, Mkazi wa Kitangini kata ya Chanika jijini Dar es salaam, amekumbwa na aibu ya mwaka na kukiona cha moto baada ya kunaswa kwenye jumba...
NI neema kwa watumiaji wa mafuta! Hivyo ndivyo mtu anavyoweza kueleza kutokana na kushuka kwa bidhaa za mafuta ya petroli, dizeli na mafuta ya taa kwa mara ya pili mfululizo tangu kuanza kwa mwaka...
Hapa kuna tweet ya Mh, Rais JPM baada ya shambulio la Mh Tundu Lissu, ikieleza masikitiko yake na kuagiza vyombo vinavyohusika kuchukua hatua.
Kisha kuna video ya Mh, Samia Suluhu akimjulia hali...
Tunashangaa kitendo cha kukaa kimya management ya benki ya EXIM tawi la Arusha kutokana na tukio la wananchi/wateja kuibiwa fedha zao na wafanyakazi wa benki hiyo.
Tukio hili limejirudia mara kwa...
Hii nmeipenda sanaa, nikiwa mkoani morogoro na ubavu wangu pembeni maeneo ya FLOMI HOTEL tukavuka upande wa pili na kushuka na barabara lodge ya kwanza tukakuta imejaa!
Ya pili yake chafu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.