Habari wanajamii?
Ijumaa nilikuja na uzi unaozungumzia walimu kumlazimisha mama kuandika/kusaini barua ya mtoto kuacha shule.
Mama aitwa shule, alazimishwa kusaini barua ya mtoto wake kuacha...
DC GOWELE ATAKA UANGALIFU ZOEZI LA FIDIA TSF-NORTH MARA
TARIME
Mkuu wa Wilaya ya Tarima mkoani Mara Mhe. Meja. Edward Gowele, amewaagiza viongozi wanaosimamia zoezi la uthamini wa fidia eneo la...
Kama mtu amepata vijipesa vyake visivyo na makandokando je anaweza fanya ujenzi kwenye underground ya eneo lake(nyumba binafsi yakuishi au hotel,packing au banker)
Moja ya kitu kinachonisumbua ni kuwa mimi ni mraibu wa wanawake.
Ni kitu nilicho dhani nimesha kishinda, ila baada ya kupata vijisenti juzi kati nimejikuta automatically hii hali inanijia hasa...
Habari ndugu zangu?
Issue iko hivi, dogo yupo kidato cha nne, anasoma shule ya sekondari IGANZO, ipo mkoa wa Mbeya.
Mwezi wa sita mwaka huu walifunga shule, lakini kwakuwa yupo kidato cha nne...
Shirika la Reli Tanzania (TRC) limeeleza kuwa ujenzi wa SGR kutoka Dar es Salaam hadi Mwanza umefikia asilimia 69.2%, hatua inayoonesha kasi kubwa ya utekelezaji wa mradi huo muhimu wa usafiri nchini
Kisa cha Mtu Aliyekataa Kufa Moyo!
Unapopitia changamoto na kuona kama kila kitu unachojenga kinaporomoka, kumbuka kisa cha mwanamume aliyeshuhudia kiwanda chake kikiangamizwa na mabomu ya vita...
Ukikosa hela kwenye sirikali hii ya wagaikoko , tambua wewe ni kiazi Mbwa takataka.
Yani mzazi wako alitakiwa avae kondom usizaliwe kabisa, takataka na mpumbavu kama wewe ,gademitt.
Wanabodi:
Niwaletee mkasa huu wa kipekee unahusiana na pilika pilika za kujikinga na COVID-19 umemtokea jamaa yangu Jumapili ya tarehe 19/04/2020 akiwa Kanisani kwake
Muhimu: Uzi huu unawafaa...
Habari wakuu,
Nikiwa mfanyabiashara wa retail, leo nimeona nitoe shukrani za dhati kwa mitaa ya Kariakoo ambayo imekuwa sehemu kubwa ya mafanikio yangu.
Nilianza nikiwa nimeajiriwa kwenye...
Mtaani kwetu hapa Kimara Mwisho karibu na Ukumbi maarufu wa Noble kuna ghorofa ambalo limetelekezwa na sasa lina dalili ya kuanguka.
Tumeshawahi kuripoti katika Serikali ya Mtaa walifika na...
INTRODUCTION:
Kwanza kabisa Mimi Mr. Liverpool ni mtumishi wa umma ndani ya Halmashauri kwa muda wa miaka 11. Miaka 5 nimekuwa Shule na 6 ndio kazini.
Niko kwenye Halmashauri iliyo chaka sanaaa...
Kwa sisi wenye kuleta mada fikirishi, na kwa faida ya member ambao wanahitaji wa kupata suluhu ya jambo, au kupata like minds, ambao wanaweza kujadili vitu kwa mapana. Inaweza hata kuwa mwanzo wa...
Kama utakuwa umewahi kufika katika Jiji la Dar es salaam Wiliya ya Kinondoni mitaa ya SKANSKA basi utakubaliana na mimi kuwa pale Mashimoni-Mtongani ndiyo mitaa yenye Waswahili wengi Kinondoni...
HUYU HAPA JAMAA ALIYEJARIBU KUIBIA FREEMASONS
Huruma sio malezi. Ukijaribu kucheza na fedha za makundi ya siri ya dunia huku ukiwa na wazo la kuwapiga changa la macho, lazima utambue kuwa...
Halmashauri ya wilaya ya Nzega -Tabora haijatulipa fedha za kujikimu walimu wa ajira mpya 2026 badala yake imewalipa watumishi wa afya pekee, hii sio haki kwa watumishi wengine Kwani wote tuna...
Watoza ushuru Stendi ya Magufuli wanatoa risiti za aina mbili, wana risiti za Sh 500 na za Sh 2,000, mtu wa Bajaj ukiingia kuchukua abiria wanakuomba Sh. 1,000 kisha wanakupa risiti ya Sh 500...
LAANA YA SHAMBA
Palikuwa na shamba moja kubwa, zuri na lenye rutuba ya ajabu. 🌿
Shamba lile lilikuwa na kila aina ya mazao ya thamani. Udongo wake ulikuwa wenye nguvu, na kila aliyelima ndani...