Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Habari wanajamii? Ijumaa nilikuja na uzi unaozungumzia walimu kumlazimisha mama kuandika/kusaini barua ya mtoto kuacha shule. Mama aitwa shule, alazimishwa kusaini barua ya mtoto wake kuacha...
0 Reactions
11 Replies
88 Views
DC GOWELE ATAKA UANGALIFU ZOEZI LA FIDIA TSF-NORTH MARA TARIME Mkuu wa Wilaya ya Tarima mkoani Mara Mhe. Meja. Edward Gowele, amewaagiza viongozi wanaosimamia zoezi la uthamini wa fidia eneo la...
0 Reactions
0 Replies
13 Views
Kama mtu amepata vijipesa vyake visivyo na makandokando je anaweza fanya ujenzi kwenye underground ya eneo lake(nyumba binafsi yakuishi au hotel,packing au banker)
2 Reactions
10 Replies
111 Views
Moja ya kitu kinachonisumbua ni kuwa mimi ni mraibu wa wanawake. Ni kitu nilicho dhani nimesha kishinda, ila baada ya kupata vijisenti juzi kati nimejikuta automatically hii hali inanijia hasa...
12 Reactions
146 Replies
2K Views
Habari ndugu zangu? Issue iko hivi, dogo yupo kidato cha nne, anasoma shule ya sekondari IGANZO, ipo mkoa wa Mbeya. Mwezi wa sita mwaka huu walifunga shule, lakini kwakuwa yupo kidato cha nne...
5 Reactions
32 Replies
289 Views
Shirika la Reli Tanzania (TRC) limeeleza kuwa ujenzi wa SGR kutoka Dar es Salaam hadi Mwanza umefikia asilimia 69.2%, hatua inayoonesha kasi kubwa ya utekelezaji wa mradi huo muhimu wa usafiri nchini
0 Reactions
3 Replies
53 Views
Kisa cha Mtu Aliyekataa Kufa Moyo! Unapopitia changamoto na kuona kama kila kitu unachojenga kinaporomoka, kumbuka kisa cha mwanamume aliyeshuhudia kiwanda chake kikiangamizwa na mabomu ya vita...
0 Reactions
0 Replies
22 Views
Ukikosa hela kwenye sirikali hii ya wagaikoko , tambua wewe ni kiazi Mbwa takataka. Yani mzazi wako alitakiwa avae kondom usizaliwe kabisa, takataka na mpumbavu kama wewe ,gademitt.
23 Reactions
106 Replies
861 Views
Wanabodi: Niwaletee mkasa huu wa kipekee unahusiana na pilika pilika za kujikinga na COVID-19 umemtokea jamaa yangu Jumapili ya tarehe 19/04/2020 akiwa Kanisani kwake Muhimu: Uzi huu unawafaa...
15 Reactions
3K Replies
168K Views
Habari wakuu, Nikiwa mfanyabiashara wa retail, leo nimeona nitoe shukrani za dhati kwa mitaa ya Kariakoo ambayo imekuwa sehemu kubwa ya mafanikio yangu. Nilianza nikiwa nimeajiriwa kwenye...
13 Reactions
27 Replies
839 Views
Anonymous
Mtaani kwetu hapa Kimara Mwisho karibu na Ukumbi maarufu wa Noble kuna ghorofa ambalo limetelekezwa na sasa lina dalili ya kuanguka. Tumeshawahi kuripoti katika Serikali ya Mtaa walifika na...
3 Reactions
14 Replies
222 Views
INTRODUCTION: Kwanza kabisa Mimi Mr. Liverpool ni mtumishi wa umma ndani ya Halmashauri kwa muda wa miaka 11. Miaka 5 nimekuwa Shule na 6 ndio kazini. Niko kwenye Halmashauri iliyo chaka sanaaa...
143 Reactions
441 Replies
39K Views
Kwa sisi wenye kuleta mada fikirishi, na kwa faida ya member ambao wanahitaji wa kupata suluhu ya jambo, au kupata like minds, ambao wanaweza kujadili vitu kwa mapana. Inaweza hata kuwa mwanzo wa...
8 Reactions
195 Replies
1K Views
Kama utakuwa umewahi kufika katika Jiji la Dar es salaam Wiliya ya Kinondoni mitaa ya SKANSKA basi utakubaliana na mimi kuwa pale Mashimoni-Mtongani ndiyo mitaa yenye Waswahili wengi Kinondoni...
4 Reactions
8 Replies
117 Views
HUYU HAPA JAMAA ALIYEJARIBU KUIBIA FREEMASONS Huruma sio malezi. Ukijaribu kucheza na fedha za makundi ya siri ya dunia huku ukiwa na wazo la kuwapiga changa la macho, lazima utambue kuwa...
8 Reactions
23 Replies
591 Views
Halmashauri ya wilaya ya Nzega -Tabora haijatulipa fedha za kujikimu walimu wa ajira mpya 2026 badala yake imewalipa watumishi wa afya pekee, hii sio haki kwa watumishi wengine Kwani wote tuna...
0 Reactions
3 Replies
98 Views
Watoza ushuru Stendi ya Magufuli wanatoa risiti za aina mbili, wana risiti za Sh 500 na za Sh 2,000, mtu wa Bajaj ukiingia kuchukua abiria wanakuomba Sh. 1,000 kisha wanakupa risiti ya Sh 500...
0 Reactions
0 Replies
18 Views
LAANA YA SHAMBA Palikuwa na shamba moja kubwa, zuri na lenye rutuba ya ajabu. 🌿 Shamba lile lilikuwa na kila aina ya mazao ya thamani. Udongo wake ulikuwa wenye nguvu, na kila aliyelima ndani...
2 Reactions
9 Replies
86 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…