Biashara na Kilimo ni Rahisi Ukiwa Unasimuliwa

Biashara na Kilimo ni Rahisi Ukiwa Unasimuliwa

Mtambachuo

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2023
Posts
2,328
Reaction score
4,281
Huwa kuna stori nyingi ambazo sio halisia au tuseme wanaosimulia wanaongeza chumvi nyingi lakini inapokuja kwenye uhalisia mambo yanakuwa tofauti kwa muhusika.

Embu tukumbushane wakuu tuliyopitia kwenye biashara na kilimo katika harakati za kujikwamua kiuchumi.

Kuna wale waliambiwa ukilima matikiti na mananasi Bagamoyo na Kibaha watakuwa matajiri haraka.

Vipi kwa wale waliambiwa wakienda Kariakoo kufanya biashara watatajirika haraka.

Hii itatusaidia kupima au kufanya uchunguzi hata baada ya kusimuliwa na hasa hawa motivational speakers.

1788171754460.jpg
 
Biashara na kilimo ni vipawa au vipaji kama ilivyo kucheza Mpira au kuimba Muzik.


Hata muziki una Hela ila sio Kila mtu anaweza kuwa mwanamuziki.


Hakuna sector isiyo na Hela na hakuna sector ni rahisi kupata Hela.

Explore your identity kisha chagua biashara yenye alignment na identify na kipaji chako Kisha kuwa na consistency utafanikiwa.

Wengi mtihani unakuja hapo kwenye self exploration and determination ndio maana ukiambiwa kuuza Nguo Kuna lipa unaenda kuuza Nguo.
 
Biashara na kilimo ni vipawa au vipaji kama ilivyo kucheza Mpira au kuimba Muzik.


Hata muziki una Hela ila sio Kila mtu anaweza kuwa mwanamuziki.


Hakuna sector isiyo na Hela na hakuna sector ni rahisi kupata Hela.

Explore your identity kisha chagua biashara yenye alignment na identify na kipaji chako Kisha kuwa na consistency utafanikiwa.

Wengi mtihani unakuja hapo kwenye self exploration and determination ndio maana ukiambiwa kuuza Nguo Kuna lipa unaenda kuuza Nguo.
Kila jambo likifanyika kwa moyo na kujituma,mafanikio ni dhahiri!
 
Biashara na kilimo ni vipawa au vipaji kama ilivyo kucheza Mpira au kuimba Muzik.


Hata muziki una Hela ila sio Kila mtu anaweza kuwa mwanamuziki.


Hakuna sector isiyo na Hela na hakuna sector ni rahisi kupata Hela.

Explore your identity kisha chagua biashara yenye alignment na identify na kipaji chako Kisha kuwa na consistency utafanikiwa.

Wengi mtihani unakuja hapo kwenye self exploration and determination ndio maana ukiambiwa kuuza Nguo Kuna lipa unaenda kuuza Nguo.

Ni kweli mkuu watu wengi wamekuwa wanafuata upepo wakisikia hiki kina lipa basi nae anaenda kufanya.
 
Hii biashara urahisi wake ni kuwa vitu vitatu
1. Shamba lenye maji ya umwagiliaji
2. Zana za kisasa za kilimo
3. Mtaji kiasi
Ukitegemea mvua utakuwa unafanya betting
4. Masoko na namna ya kuuza bila mtu aitwaye dalali. Huyu ni adui namba moja unatakiwa kujua mbinu zao wanazo tumia kukulaghai.
 
Agriculture can also be considered a financial liability, as the potential costs and losses may exceed the expected returns, resulting in negative net profitability.

So kwa wale wanaojitafuta sio njia nzuri ya kujikwamua kwa sababu kwanza mtaji ni mdogo na wanategemea faida ila aweze kuendelea tena.
 
Back
Top Bottom