Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Sio poa Dodoma wameweka historia ya kipekee unaambiwa chinangali ili pelea kutokana na mauzo ya TIKETI kuwa makubwa kilicho fuata ikabidi ukuta uvunjwe pia kuunganisha Hadi parking, ili watu...
3 Reactions
4 Replies
104 Views
Yesu alifanya huduma yake hadharani (public ministry). Sasa haya matokeo ya mama yake yaliyoripotiwa kwa nini ni ya kusiri (private) tu kiasi cha kuligharimu kamisa katoliki miaka kadhaa ya...
4 Reactions
5 Replies
108 Views
Imethibitishwa kuwa miaka zaidi ya 500 kutoka sasa sokwe wote waliopo duniani watakuwa wanadamu, mabadiliko kama proof yameshaanza kuonekana kwa baadhi ya sokwe hadi leo. Wanachojiuliza ni kwamba...
1 Reactions
21 Replies
3K Views
Anonymous
Sisi ni madereva wa Halmashauri ya Mji Kondoa, na tungependa kuwasilisha malalamiko yetu kuhusu changamoto tunazokutana nazo kazini, hususan kuhusu mwenendo wa Afisa Usafirishaji wetu...
0 Reactions
0 Replies
18 Views
Anonymous
Mfumo wa anuani za makazi (NaPA) una changamoto katika mchakato wa kuomba barua ya utambulisho. Tangu wiki iliyopita mfumo huo haujafanya kazi; kila unapojaza taarifa unaambiwa kuwa kuna hitilafu...
0 Reactions
1 Replies
84 Views
Habari za muda huu wana-JamiiForums, Kuna wakati unakaa na kutafakari jinsi maisha yalivyobadilika kwa kasi sana hasa kwa sisi tuliobahatika kuzaliwa na kukulia katika miaka ya 1970, 1980, na...
27 Reactions
312 Replies
6K Views
Mbinguni ni Raha.. Tujifunze kumtukuza Mungu anapotuvusha kwenye mapito... Tujipe raha wenyewe: Wote na Tuseme:-AMEEEN. https://m.youtube.com/watch?v=cX9ngxvoDE4...
6 Reactions
36 Replies
382 Views
Kuna clip nimeona Sheikh Walid anatoa daawa mi sikitini halafu wanainuka watu wanampa pesa kwa kumuwekea kwenye mifuko ya koti, kumshikisha mkononi na nyingine hadi kwenye bargashia! Huu...
2 Reactions
5 Replies
59 Views
Huu Uzi Maalumu wa Kupeana Connection za Waganga wa Kienyeji na Shuhuda Mbalimbali. Kikubwa Toa Shuhuda Elezea Location alipo Mawasiliano sio Muhimu kwa Kuwa watembeaji ni Watu wa Kujiongeza...
48 Reactions
361 Replies
55K Views
Hebu fanya kuijaribu - https://www.jamiiforums.com/account/stories
6 Reactions
11 Replies
159 Views
Madogo mnaochipukia kunako KIMASIHARA, Kaeni kwa PASSWORD kwa zama tulizopo usiumize sana kichwa. Mchukue mpeleke hospitali ya serikali, mwambie doctor sisi hatuumwi tumekuja kufanya check-Up...
3 Reactions
8 Replies
302 Views
Habari wana jf! Leo hii nami naomba nitoe shuhuda na vimbwanga nilivyo vikuta kwa mganga baada ya kuona hapa wanajamii f. Wanatoa shuhuda zao mbalimbali. Nianze kwa kusema waganga wa kweli wapo...
16 Reactions
72 Replies
10K Views
Habari zenu, Nimekuja hapa kuomba msaada wa haraka. Ni miaka miwili nipokwenye hizi ibada za meditisha na Taamuli . Nilizoea na kupata utulivu mkumbwa sana wa akili ila sasa navuka mipaka na...
10 Reactions
59 Replies
2K Views
Unapofika Stendi ya Mbezi na kuhitaji huduma ya choo kwenye ghorofa ya kwanza, unatozwa Sh300 bila kupewa risiti. Hata hivyo, ukienda ghorofani kwenye waiting lounge, unatozwa Sh200 na unapewa...
1 Reactions
5 Replies
108 Views
Sijajua ni tafsili ya kitaalam au mazoea ya mtaani ila mala nyingi tunaambiwa mtu aliyekufa amekata ROHO saa flan ila mimi naonaga kama moyo ndio ulio zima muda flan maana mambo ya moyo na akili...
6 Reactions
42 Replies
303 Views
Yani ni aidha wa pili au wa Tau au wa nne.namba hizo tajwa Hata ikiangukia mwishoni. Yani ikiwa umezaa watoto watano basi ni yule wa tatu au wa nne. Ikiwa umezaa wanne basi ni yule wa tatu...
14 Reactions
84 Replies
448 Views
Sakata linalomhusu Mariam Kijumbe limeendelea kuteka mjadala mkubwa mitandaoni, hasa baada ya watu mbalimbali kujitokeza kudai fedha zao walizoweka kwenye kile kinachoelezwa kuwa ni mchezo wa...
4 Reactions
51 Replies
683 Views
Hakuna Mungu wa kuzuia wewe usife kwa kuwa unamshukuru kwa uhai! Hakuna Mungu wa kukulinda, kwa vile eti unamshukuru kwa uhai! Utakuta watu wanajipa matumaini uchwara ya kijinga, Eti...
8 Reactions
20 Replies
296 Views
Kokote duniani wanaharaki wamekuwa chanzo kutetea haki za watu na tuwape maua wanawatetea wanyonge lakini wakati mwingine imeleta madhara makubwa sana. Wanaharakati duniani wameleta mabadiriko...
1 Reactions
9 Replies
81 Views
Nje na kushusha garama za umeme na kufanya usikatike itakua ngumu sana kuwaambia wananchi kua bwala lina faida,umeme mwingi na wakutosha (hakutokua na tofauti kama zamani)
5 Reactions
16 Replies
348 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…