A
Anonymous
Guest
Unapofika Stendi ya Mbezi na kuhitaji huduma ya choo kwenye ghorofa ya kwanza, unatozwa Sh300 bila kupewa risiti. Hata hivyo, ukienda ghorofani kwenye waiting lounge, unatozwa Sh200 na unapewa risiti.
Hali hii inazua maswali kuhusu uhalali wa tozo ya Sh300 na matumizi ya mapato hayo. Ikiwa tozo hiyo haijaidhinishwa, kuna viashiria vya ukiukwaji wa taratibu na upotevu wa mapato ya Serikali. Wahusika wanapaswa kuchunguza tofauti hiyo na kuhakikisha wananchi wanatozwa kiwango rasmi na kupewa risiti kwa kila malipo.
Hali hii inazua maswali kuhusu uhalali wa tozo ya Sh300 na matumizi ya mapato hayo. Ikiwa tozo hiyo haijaidhinishwa, kuna viashiria vya ukiukwaji wa taratibu na upotevu wa mapato ya Serikali. Wahusika wanapaswa kuchunguza tofauti hiyo na kuhakikisha wananchi wanatozwa kiwango rasmi na kupewa risiti kwa kila malipo.