Mnatudanganya na makamera yenu.
Mtajiita A list, ila watanzania wana A list zao na watabaki nazo
Wolper, Irene, Kajala na Aunty ni kipi cha maana mlicho inspire kwa mabinti katika hili taifa...
Kama wanyama flani wapo na aina zao kwanini isitambuliwe kwa binadamu pia?
Tunaona ng'ombe wapo katika types tofauti, nguruwe, mbwa, kuku, tembo nk. Kwanini binadamu tusiwepo kwenye types...
Madalali wa nyumba jijini Dar es salaam wamekuwa matapeli kwa miaka, sasa wamewafundisha wenzao wa mikoani kama Kilimanjaro, Arusha , Mwanza, Mbeya na Dodoma. Madalali ndio wamekuwa wakipandisha...
Maisha yanafikirisha sana
Mim ni form 4 point 29 enz hizo 2011 .Kichwani nipo empty kiasi chake
Yote ni mipango ya Mungu .ckuwa na wazazi mambo ni mengi Tena hayaelezeki, Wabongo. wanasema mambo...
Kama ilivyokua na aina za ngombe, kuku, mbwa, punda, papa wapo wa aina tofati haswa kutokana na ubora na mapungufu yao hata binadamu TUPO KWA AINA TOFAUTI na hatupo sawa kama dini na sayansi...
Wakazi wa Iringa Mjini tunapandishiwa nauli za daladala katika njia kutoka Stendi ya Zamani kupitia Igumbilo hadi Stendi Kuu ya Mabasi na Viwengi, magari yanayofanya safari katika njia hii...
UMAKINI MITANDAONI
Unapoandika ujumbe wowote mtandaoni, unapoweka picha zako au picha za matukio au mahali ulipotembelea/ unapotembelea na/au unapoishi; hizo ni nyaraka zinazoweza kutumika...
Ubinafsi sio kuwa mchoyo tu, hata ile hali ya kutanguliza sana watu mnaofanana kabila kuna element za ubinafsi
WASUKUMA - Sehemu unayoweza kwenda hata ukiwa mgeni na ukapewa ushirikiano kwenye...
Hii biashara ni hatari yani ukikosea steps umekufa wewe.
Watu hawana huruma ukipoteza hata dollar 500 kupigwa chuma ni dakika Moja
Hii biashara ukijiingiza kutoka ni nguma sana once a mafia...
Mafundisho makuu aliyofundisha Yesu mwenyewe mfano wa mafundisho ya akina Budha au Confucius ambayo ni ya kipekee (unique) yeye akiwa kama muasisi wake ni yapi ?
NB: Tanzania hakuna wasomi
1. Paulo: "Yesu alikufa kwa ajili ya dhambi zetu"
1 Wakorintho 15:3
"Maana nilikwisha kuwapa, kwanza kabisa, yale niliyopokea pia; ya kwamba Kristo alikufa kwa ajili...
ShesRise_1 ni mweupe, mrefu ila hana makebo makubwq
win-one ni mweusi mng'ao, mnene kiasi, sio mrefu, sio mfupi
Seran ana nyoa hasuki, ni mweupe kiasi, hana makebo makubwa ila kiasi
Mallerina...
Sijawahi kikutana na huyu Dada, ila nakumbuka tokea enzi za fastjet, mpaka ki grocery kwenye frame moja pale tabata, mpaka baa kubwa, Tabata, sinza na mbagala,
Mara kuna ile microfinance, mara...
Wakuu, hawa watoto wetu sometimes wanajua sana kutuaibisha/ kutuangusha.
Jumatatu iliyopita nilishiriki mahafali ya darasa la Saba ya binti yangu. Mambo yalikwenda tu vizuri mwanzoni, lakini...
Akizungumza katika maadhimisho ya miaka 30 ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Rais Samia amesema uchumi wa nchi unaendelea kukua kwa kasi huku fursa za biashara zikizidi kufunguka, hivyo ni...
Mrembo kutoka Tanzania, Rushyna, amewaacha watu mdomo wazi baada ya kushindwa kuzungumza Kiingereza alipokaa mbele na kuitwa Mbele Kama Celebrity wakati wa Mashariki Creative Economy Expo 2026...