Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Kama aumewahi kusikia ama bado basi nakukumbusa kuwa kuna Kisiwa kinaitwa Pitcairn ambacho ndicho kisiwa pekee Duniani chenye wakazi wachache katika Bahari ya Pasifiki Kusini kikiwa kimejitenga na...
1 Reactions
2 Replies
576 Views
Wakuu naulizia anayefahamu kikundi chochote kinachojihusisha na sanaa ya uigizaji maeneo ya Morogoro mjini na namna ya kujiunga. Msaada tafadhali🙏
0 Reactions
2 Replies
641 Views
Nina rafiki yangu ambaye aliweka pesa katika Benki ya Umoja wa Afrika huko Senegal kwenye kadi yake ya ATM, anataka kunipa pesa na mimi nipo Tanzania nifanyaje
1 Reactions
6 Replies
548 Views
Habarini. Wazoefu wa shared office niko na startup yangu, hivyo niomena ni bora nipate shared office kwa miezi hii ya mwanzo kuliko kupanga office nzima maana gharama zitakuwa kubwa. Hivyo...
0 Reactions
1 Replies
281 Views
Hata hapa Tanzania kama hamtajifunza kwa wenzenu wa nchi za Ulaya na Marekani mtapoteza influence sana miaka michache ijayo Kumbukeni Gene Z, Gen Alpha na sasa Gen Beta sio kizazi kitakacho...
9 Reactions
61 Replies
2K Views
Jana usiku nilifuatilia mjadala wa Hoja yenye kichwa cha habari kinachohusu Mtaala Mpya katika Shule za Sekondari ambayo inasisitiza "Elimu Ujuzi". Nia ya mpango huu ni nzuri kabisa na...
0 Reactions
3 Replies
558 Views
Hizi habari za siku sita zilizopita. Imetokea Mfukoni location,sub section Kinoru. Huyu mtu Musanga amemkata shingo Bwana Muthomi kwa kuthubutu kumfuata mke wake Linat Karemi. Amemkata shingo...
1 Reactions
1 Replies
328 Views
Kila kitu ulichopoteza kitarudi kwako mara mbili 😭😭 mnamo 2025
3 Reactions
4 Replies
397 Views
Hivi hizi online media nani anazi-regulate? Nyingi zinaandika upumbavu! Hebu fikri Hutu mwandishi anayejua mpaka leo kwamba kocha wa Yanga ni Nasredine Nabi anajitambua Hutu? Yaani mpaka ameondoka...
3 Reactions
5 Replies
426 Views
Kwenye maandiko ya biblia tunasoma kwamba Yesu aliibariki mikate mitano kulisha watu elfu tano wakala na wakashiba iliwezekana vipi? Mathayo 14:19-20 Akawaagiza makutano waketi katika majani...
8 Reactions
12 Replies
880 Views
Nimeshaona post kadhaa siku za nyuma vijana wa Kariakoo kupotea wakati nipo kwenye daladala ilibidi nimuulize jamaa mmoja kipindi cha nyuma kwanini vijana wa Kariakoo wanapotea sana, akasema...
23 Reactions
312 Replies
20K Views
Jamani kwa wale ambao mmewahi kuishi uchagani, watu wa huko wanafundishwa nini kuhusu pesa? Watu karibia wote wanaotoka uchagani ni wafuatiliaji wazuri sana wa pesa. Jamii zote zinapenda pesa...
5 Reactions
32 Replies
2K Views
Natamani waziri husika awaelekezi hivi; Wanapofika maeneo ya vijijini ambapo wananchi wamehamasika kwa gharama zao wenyewe wakajitengenezea miradi yao ya maji safi, wasiwaingilie miradi yao. Hii...
0 Reactions
0 Replies
245 Views
Ety waislamu kwa mujibu wa mandiko hivii hao bicra 72 ambaoo tunakutana nao huko peponi ni warabu wazungu Latino America au wafrica?
2 Reactions
53 Replies
2K Views
Yaani hawa dawasa ni upuuz,wajinga,wazandiki. Hawa watu sio binadam wa kawaida. Hawajali ubinadam utu haya wala nidhamu. Maji yapo kufungua hawataki. Watafungua dakika chache mno na kuyafunga...
0 Reactions
0 Replies
253 Views
Kumchelile? Kwali mwenga! Kila nikipita humu JF lazima nikutane na Uzi unazungumzia ukatili wa mwarabu. Miaka yangu yote ya kuperuzi humu jf imekuwa hivyo. Na zaidi ni kwa namna gani waarabu...
2 Reactions
12 Replies
1K Views
Wadau hamjamboni nyote? Hongera sana shehe Mustafa Rajab kutunikiwa shahada ya PhD Kwa mujibu wa ukurasa wa FB wa nkusa online
1 Reactions
11 Replies
764 Views
1.Kung’ata kucha. 2.Kuliza viungo vya mwili (Cracking joint) kama vidole nk. 3.Kuvuta maneno “ummm” au “aaaaah” kila unapotaka kusema jambo. Mfano aaaah unajua… ummm sio kweli… 4.Kulamba...
4 Reactions
113 Replies
15K Views
DAR ES SALAAM; MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu amesema ana sifa na uwezo wa kuongoza nafasi ya uenyekiti kwa weledi. - Lissu amesema kutokana na...
1 Reactions
0 Replies
189 Views
Anonymous
Nazidi kuomba JamiiForums itusaidie kupaza sauti hii ni zaidi ya mara ya tatu naandika hapa. Kutoka Nyahigi wilayani Nyamagana mkoani Mwanza tunateseka maji yanatoka kwa week mara moja ambayo ni...
1 Reactions
2 Replies
260 Views
Back
Top Bottom