Manjagata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 17,175
- 19,841
Hivi hizi online media nani anazi-regulate? Nyingi zinaandika upumbavu! Hebu fikri Hutu mwandishi anayejua mpaka leo kwamba kocha wa Yanga ni Nasredine Nabi anajitambua Hutu? Yaani mpaka ameondoka Gamondi yeye alikuwa hana habari amekuja Ramovic (the Germany Machine) yeye hana habari. Kazi ipo!