Hii nchi ni kama jalala

Hii nchi ni kama jalala

Gunner11

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2021
Posts
13,155
Reaction score
25,714
Juzi nimenunua headphones za JBL nikauziwa bei ndogo sana, nilidhani nimewachapa ila kumbe ni copy na nilijua hilo ila nikikausha tu..

Hazina quality ya aina yoyote.

Imenifikirisha sana.

IMG_20260917_065246.jpg


Nikiangalia product nyingi bongo ni kama tuna consume makapi tu. Hakuna ubora katika kila kitu.

Tukianzia kwenye vyakula na vinywaji ndo usiseme kabisa, bora hata JPM alikuwa anakwenda yeye mwenye kukagua, kuhakikisha sisi wa Tz unapata kilicho bora,

Leo angalia uchafu unaoingizwa nchini, angalieni wachina wa navyo jenga barabara kiholela, angalieni pombe zenye zisizo na viwango zinavyo inhizwa nchini, yaani hili taifa imekuwa kama jalala kabisa.

Katika nyakati watu wanakula vitu vyeney sumu na madhara makubwa ni sasa, maana hakuna mtu wa kufanya kukagua ubora wa kile kina kuwa imported lakini pia kwenye viwanda vyetu yanayo endelea humo unaweza kukuta ni mabaya zaidi ya yale Magufuli alikuwa Anaya kuta.

Leo ukinunua bando ya elf10 inaishia mapema sana, uoigaji uko kila sehemu. Watu hawako accountable hata kidogo.

Hili li nchi aisee imekuwa la ovyo sana, ndo maana hata siwashangai watu wanao hama mazima kabisa.

Ukweli usemwe tu El Nino ikija na magonjwa hatarishi tutapukutika vibaya, maana hata miundo mbinu imekaa vibaya sana. Mazingira machafu, Mifereji imejaa uchafu, na watu hawajali kabisa
 
Juzi nimenunua headphones za JBL nikauziwa bei ndogo sana, nilidhani nimewachapa ila kumbe ni copy na nilijua hilo ila nikikausha tu..

Hazina quality ya aina yoyote.

Imenifikirisha sana.

View attachment 3672248

Nikiangalia product nyingi bongo ni kama tuna consume makapi tu. Hakuna ubora katika kila kitu.

Tukianzia kwenye vyakula na vinywaji ndo usiseme kabisa, bora hata JPM alikuwa anakwenda yeye mwenye kukagua, kuhakikisha sisi wa Tz unapata kilicho bora,

Leo angalia uchafu unaoingizwa nchini, angalieni wachina wa navyo jenga barabara kiholela, angalieni pombe zenye zisizo na viwango zinavyo inhizwa nchini, yaani hili taifa imekuwa kama jalala kabisa.

Katika nyakati watu wanakula vitu vyeney sumu na madhara makubwa ni sasa, maana hakuna mtu wa kufanya kukagua ubora wa kile kina kuwa imported lakini pia kwenye viwanda vyetu yanayo endelea humo unaweza kukuta ni mabaya zaidi ya yale Magufuli alikuwa Anaya kuta.

Leo ukinunua bando ya elf10 inaishia mapema sana, uoigaji uko kila sehemu. Watu hawako accountable hata kidogo.

Hili li nchi aisee imekuwa la ovyo sana, ndo maana hata siwashangai watu wanao hama mazima kabisa.

Ukweli usemwe tu El Nino ikija na magonjwa hatarishi tutapukutika vibaya, maana hata miundo mbinu imekaa vibaya sana. Mazingira machafu, Mifereji imejaa uchafu, na watu hawajali kabisa
Unalipa bando la elfu 10 unapewa 10Gb kwa Hali ya Sasa unajuje Kam kweli hizo ni 10gb au ni meseji tu umeandika kumbe ni 6.5gb 🤣🤣
 
Juzi nimenunua headphones za JBL nikauziwa bei ndogo sana, nilidhani nimewachapa ila kumbe ni copy na nilijua hilo ila nikikausha tu..

Hazina quality ya aina yoyote.

Imenifikirisha sana.

View attachment 3672248

Nikiangalia product nyingi bongo ni kama tuna consume makapi tu. Hakuna ubora katika kila kitu.

Tukianzia kwenye vyakula na vinywaji ndo usiseme kabisa, bora hata JPM alikuwa anakwenda yeye mwenye kukagua, kuhakikisha sisi wa Tz unapata kilicho bora,

Leo angalia uchafu unaoingizwa nchini, angalieni wachina wa navyo jenga barabara kiholela, angalieni pombe zenye zisizo na viwango zinavyo inhizwa nchini, yaani hili taifa imekuwa kama jalala kabisa.

Katika nyakati watu wanakula vitu vyeney sumu na madhara makubwa ni sasa, maana hakuna mtu wa kufanya kukagua ubora wa kile kina kuwa imported lakini pia kwenye viwanda vyetu yanayo endelea humo unaweza kukuta ni mabaya zaidi ya yale Magufuli alikuwa Anaya kuta.

Leo ukinunua bando ya elf10 inaishia mapema sana, uoigaji uko kila sehemu. Watu hawako accountable hata kidogo.

Hili li nchi aisee imekuwa la ovyo sana, ndo maana hata siwashangai watu wanao hama mazima kabisa.

Ukweli usemwe tu El Nino ikija na magonjwa hatarishi tutapukutika vibaya, maana hata miundo mbinu imekaa vibaya sana. Mazingira machafu, Mifereji imejaa uchafu, na watu hawajali kabisa
Pole kwa kupigwa kwa kujitakia...
 
Back
Top Bottom