Tukibadili Fikra tutabadili mwelekeo wa Taifa letu kwenye TijaKizazi chetu kinakabiliwa na changamoto nyingi sana kama Taifa. Tumerithi taifa ambalo limegawanyika na lisilokuwa na malengo ya...
Nimeipenda hii makala kama ukisoma mpaka mwisho.Ipo katika JF Blog.
au nenda hapa chini
If the Sumbawanga Magistrate Erred, What about these reckless Drivers? « JamiiForums|TMF Blogs
If the...
Uchaguzi wa viongozi wa TFF umevurugika.Sasa Serikali na FIFA wanaingia na kutoka TFF kutoa maelekezo,ushauri na maagizo kwa uongozi wa sasa wa TFF ulio chini ya Leodgar 'Chilla' Tenga. Kila mtu...
Mikutano karibu yote ya chadema ina wasifu wa jazba, hoja za nguvu na kufoka kunakopita kiasi na hivyo kuwafanya wafuasi wao kuonyesha nia ya kujichukulia sheria mkononi na haya kama hatutaelezana...
Tanzanians are notorious for political rhetoric and obsession at the expense of economic value. This habit has now evolved into a ‘culture'. The Tanzanian Parliament is actively legislating...
Katika sehemu ya kwanza ya Katiba ya Chama cha Mapinduzi (CCM), kifungu cha cha tatu, hitimisho la Azimio la kuunganisha TANU na ASP linasema hivi:
Tumeamua kwa pamoja kuunda Chama kipya cha...
Wiki kadhaa zilizopita, invisible alileta uzi ulio hoji iwapo Rais Kikwete na Serikali yake wanahusika katika mgogoro wa kidini unaoendelea nchini hivi sasa; Katika uzi huo, invisible alini tag...
Katika mahujiano ya jana kwenye Radio One kipindi cha michezo usiku khoja za Wambura zilirejewa na kuungwa mkono na baadhi ya watangazaji na wasikilizaji wakati ni hoja zinazokinzana na sheria za...
Last time I went to Unguja; I must admit, I felt safe and secure and at no time I had any lingering thoughts that my life was in danger and that was 2004. And in comparison with my regular trips...
Kuwalaumu wanafunzi au waalimu pekee ni kutafuta majibu mepesi kwenye maswali mazito. Lengo la elimu ni kukulainishia maisha lakini kama ukiwa nayo na yule asiyenayo nyote mnarundikwa kundi moja...
Serikali ya nchi zilizoendelea zina mipango na miongozo maalumu kabisa ya kuwatambua na kuwatumia watu wao walio katika taasisi za juu za elimu.
Watu hawa ni ma Professa pamoja na wanafunzi wao...
Katika mchango wake wa hivi karibuni juu ya Katiba Mpya, Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Sefue amekuja na hoja kwamba Kupunguza Madaraka Ya Rais Ni Hatari Kwa Usalama Wa Nchi, na kusisitiza kwamba...
Sababu kubwa zinazohisiwa na watu kwa matokeo mabaya ya form four mwaka huu ni mgogoro kati ya serikali na walimu na ubovu wa shule za yeboyebo.
Hata hivyo nadhani inabidi tujadili zaidi ya hapo...
Tumeshaelewa hoja ya Lowassa, nadhani sasa ni wakati wa kuelekeza juhudi zetu katika kutafuta ufumbuzi wa kudumu; Ni muhimu tukampongeza Lowassa kwa kuwa kiongozi wa kwanza nchini kulipa suala...
Kwa kufeli huku kwa wanafunzi wa Kidato cha nne (wote siyo watoto) ni lazima tufanye uamuzi ama wa Kutumia Kiingereza au Kiswahili Kufundishia Maarifa kwenye taasisi zetu za Elimu. Kama maarifa...
Kila siku ninapoamka nakuzitizama siasa zetu, huwa najiuliza swali moja kama kweli kama taifa bado tunahitaji kuendelea kuwa na wanasiasa wa aina hii tuliyonayo. Kiuhalisia kila kitu Tanzania...
Since the departure of Mwalimu Nyerere from power in 1985, it has become customary for Tanzanians to denounce their political leaders as being ‘arrogant' and ‘corrupt'. Strangely...
The new ccm cc team that JK has unveiled yesterday is pregnant with intentions of where JK hankers to take the nation to. For beginners, since we gained our independence in 1961 no president has...
Spika Anne Makinda ambapo kuukwaa uspika ilibidi "awezeshwe" na JK kupitia rafu kibao sasa ameonyesha hana sifa wala uzoefu wa kuliongoza Bunge hili ndani ya utamaduni wa vyama vingi.
Tatizo...
Kuna duniaya kazi na uwajibikaji. Kila binadamu ana wajibu fulani kwa jamii yake, familia yake, na kwa Taifa lake.
Mambo yote haya yanapelekwa mbele na kitu kimoja, Mapenzi ya kutaka kuona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.