Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Hivi kwa nini mtu ukitaka kuwapa big 5 hawa wanamuziki wa nchi yetu hii ya Tanzania, mambo huwa hayaendi? kama wanavyojitangaza? wakisema saa 3 usiku muwepo msikose kumbe ni bomuuuuuuuuuuu...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
http://youtu.be/T7MdbRJCpXM
0 Reactions
3 Replies
1K Views
wakati Apri 1st ikikaribia wengi huwa wanasheherekea sikukuu! ya wajinga lakini mi nakumbuka kifo cha huyu legend wa R&B, soul, doo-wop, funk, quiet storm...!!! RIP Marvin! Moja ya nyimbo yake...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nasikitika kuwa jamii ya burudani ya music hasa bongo fleva hapa tanzania haiwezi kukua wala kusonga mbele kwakuwa ina watu wajanja wajanja wapenda pesa za burudani bila kupenda maendeleo ya...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Huu wimbo naona unatesa sana Youtube. Umetoka kwenye wimbo wa Rock maarufu wa Paradise - Coldplay ambao wanaonyesha Tembo (Mtu) anasafiri kuja Africa na kuwakuta wenzake wakila good time in...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Namkubali sana huyu dogo........................!
1 Reactions
1 Replies
3K Views
TABASAMU: WIMBO MPYA MSAMIATI ft. Jux & Steve RnB - Nyingine TABASAMU: wimbo mpya wa Darassa ft Mwasiti - Ukipenda huoni TABASAMU: LINAH AACHIA VIDEO YA FITINA TABASAMU: Squeezer ft Ommy...
1 Reactions
3 Replies
181K Views
Jamani, naombeni msaada kama kuna mtu anaweza kunitumia lile game la draft la kumvua nguo mwanamke (kuna wadada wanavua nguo baada ya kuscore na ukiwa scored wanavaa tena) au kama naweza...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
nisaidieni websites ntakayo download comedy buuuuuuuure hasa za basketmouth na kelvin heart.natanguliza shukurani
0 Reactions
2 Replies
801 Views
BOFYA HAPO CHINI. HighGrade Sounds.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Leo wana habari wamefanya Bonanza Msasani Club ilikuwa ni hatari.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ndugu zangu wana JF naombeni kwa yeyote mwenye namba ya simu ya meneja wa mwanamuziki Dogo Aslay au ya dogo mwenyewe anipatie either kwa kuniPM au kwa sms 0755737737 nina mchongo mzuri nataka...
0 Reactions
0 Replies
5K Views
"DIAMOND YA FOREVER" ndio jina la show babukubwa inayo andaliwa na msanii wa bongo fleva Diamond platinum,itakayofanyika Mlimani city hiv karibuni kwa kiingilio cha Tsh 50,000.Ni hatua kubwa sana...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Hellow wana JF... Leo nipo upande wa an actress Anjeline Jolie wa Holly Wood of whom I love too. Naona ni moja wa actresses mwenye uwezo mkubwa sana kuigiza na huweza cheza nafasi yoyote ile...
0 Reactions
140 Replies
10K Views
Leo waandishi wamejumuika kwenye Bonanza la pamoja Msasani Beach. Hongera kwao kwa kupunguza mawazo na stress za kazi
0 Reactions
0 Replies
1K Views
duh ukiwa na mtoto au ndugu kama huyu ni bora utafanyaje upumzike na adha.
0 Reactions
37 Replies
9K Views
Pata nyimbo mpya kutoka pande zote Duniani Bofya hapa SIKILIZA MIZIKI
0 Reactions
2 Replies
20K Views
Jana tarehe 22/03/12 nimeshuhudia ufunguzi wa Club Maisha Mtwara, ilikuwa mida ya saa 10:15. Shampeni na mafataki yalipigwa kiaina. Club iko bora kwa kubata pande zote VIP ama kajambanani kote...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
.........UPDATES.......... Hatimaye Rado anauwawa na Prosephina,Aireen nae anatupwa toka juu ya gorofa na kufariki,anabaki Hommer na Prosephina. Prosephina anafanikiwa kumpata mama yake...
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…