Tugutuke
JF-Expert Member
- Apr 21, 2011
- 501
- 165
Kama ulikuwa ndani ya Dar Live utakubaliana nami hapo juu kuwa jamaa,huenda aliyekuwa amempiga 'misumari' kaamua kuachia. Jamaa kafanya bonge 1 la shoo. Pipo hatukuamini,kivumbi sasa alipotukumbushia enzi za kingasti,rafiki,kikulacho,wawaaa fagilia bongoo,dah! Aliua. Baadae tukasikia 'wee..tabia gani hiyooo..! Honestly watu wanamkubali,afu wakati anapanda jukwaani alikuwa anatia huruma sana,lakini shoo ilipendeza sana. Mauno full kuyanyonga. Jamani Mr Nice is born again. Namkubali sana. Kama kuna mtu alikuwa anambania naomba ashindwe na alegee.
SOURCE: I WAS THERE PAPENDICULARY
SOURCE: I WAS THERE PAPENDICULARY