Games za computer

marandu2010

JF-Expert Member
Aug 7, 2010
1,199
435
Habari wakuu,naomba msaada wa magemu ya computer kama fifa,racing,mission,action n.k,nina external hard disk ya 500gb,na nitakufuata popote ulipo dar es salaam,natanguliza asante
 
Cheki na huyu mdau kwa PM.........
habari wakuu. nakumbuka nilitoa ahadi ya ku supply fifa 12 endapo ningeitia mikononi. sasa natangaza rasmi kwamba nimeipata na yeyote atakaeitaka ani pm. vilevile kuna games kama FIFA 11,NFS HOT PURSUIT NEW,NFS SHIFT2,NFS MOST WANTED,WORLD RALLY,THE GODFATHER,WWE RAW,PROTOTYPE LOSS REPACK,SPLINTER CELL,CALL OF DUTY MODERN WARFARE,MEDAL OF HONOUR,NFS UNDERCOVER. Zote hizi ni bure kabisa na utatakiwa kuja na dvd empties au external na ukijiskia kuchangia si mbaya ila its completely free kwaajil ya gamers wote. pia mnakaribishwa wenye games tofauti tuweze kukutana na kuexchange na muviez pia. thanks wakuu
kama vile nfs undeground,nfs underground2,nfs shift2,nfs hot pursuit,nfs undercover,nfs most wanted,nfs carbon,call of duty black ops,call of duty modern warfare,medal of honour,clutch,fifa 11,fifa 12,pes 2011,splinter cell pandora tomorrow,assassins creed,the godfather,007 james bond,prototype loss repack,hitman etc. ni pm tuweze kuongea!
 
kaka game mimi ndio ugonjwa wangu mkubwa....nimesha cheza game nyingi sana kuanzia mwanzo mpaka majina(A-Z)humu hatuwezi kuongea sana tutafutane namba yangu 0655200004
 
kaka game mimi ndio ugonjwa wangu mkubwa....nimesha cheza game nyingi sana kuanzia mwanzo mpaka majina(A-Z)humu hatuwezi kuongea sana tutafutane namba yangu 0655200004

hapana shaka kaka,nachukua no yako,na muda si mrefu nitaruka hewani.
 
ngoja nikupe stori kidogo kama mzuri sana katika computer game......uzifahamu game zifuatazo Need 4 speed mostwanted,need 4 speed carbon na need 4 speed undercover?kifupi hizi game zote ni sawa na sinema yaani tunazungumzia kama sehemu 1,2 na 3.picha lenyewe linaanza katika need 4 speed mostwanted,humu ndani kuna watu wanaoitwa blacklist wapo 15.
1.clarence callahan a.k.a Razor(BMW M3 GTR)
2.yumi(mitsubishi lencer evolution viii)
3.ronnie(marcedes-benz slr mclaren)
4.JV(ford GT)
5.webster(corvette C6)
6.ming(LAMBOGHIN GALLADO)
7.KAZE(PORSCHE 911 CARRERA S)
8.JEWELS(LOTUS ELISE)
9.EARL(MAZDA RX-7)
10.BARON(PORSCHE CAYMAN S)
11.BIG LOU(MARCEDES-BENZ SL 500)
12.IZZY(FORD MUSTANG GT )
13.VIC(RENAUT CLIO V6)
14.TAZ(AUDI 3.2 FSI QUATTRO)
15.SONNY(VW GOLF GTI)
hawa watu ndio watu wanao control mji mzima katika kamari upande wa mbio za magali(magangwe)unaposhindana na hawa watu(blacklist) na ukawashinda ujue unatafuta balaa town na unapo mshinda razor blacklist no 1 mzozo unakuwa mkubwa na wote wanaamua kukufukuza na mkiwa mnakimbizana razo anapata ajari na mshkaji wake razo ambae polisi anaitwa sgt CROSS anaamua kukukimbiza na mnapoanza kufukuzana tu na CROSS game inaisha na unapoianza need 4 speed carbon mnaonekana mnafukuzana tena na CROSS mpaka unapomkimbia kwa kugonga roli lililobeba mabomba makubwa na yanapolomoka na kumziba CROSS na wewe kukimbia....
 
Hata mi ni mlevi sana wa gemu za kompyuta. Nitafurahi nikipata kama tatu hivi ambazo ni challenging kabisa
 
mkuu kwa upande wa game za vita umeshacheza CALL OF DUTY(zote) ,SNIPER THE ART WAR,VEGAS 6,DELTA FORCE ZOTE na kwa upande wa race anza na hizi mbili need 4 speed mostwanted na need 4 speed carbon.
 
Back
Top Bottom