Naam habar ya mjini lady Jaydee ameahirisha show yake ya kutimiza miaka 13 ,ndani ya nyumbani lounge ijumaa wiki hii kutokana na kuguswa na kumuenzi rafiki yake kipenzi Albert Mangwair(R.I..
P)...
[update, audio] Tanzia: Mwanamuziki Albert Mangwea aka Mangwair28/05/2013
0 Comments
Man NgwairMSANII maarufu wa nyimbo za 'hip hop' na Bongo Fleva, Albert Mangwea maarufu kama Mangwair aka...
R.I.P Ngwea,cloudr wanajidai kuahirisha showz zao kinafki eti wanashow love! Komando Nothing But the Truth ndo hii,matatu ya muhimu,a moment of silince for our beloved brother, candle lighting, na...
Kwa mujibu wa matangazo ya Radio Clouds FM, Mwanamuziki wa kizazi kipya Albert Mangwea amefariki leo huko Afrika ya Kusini. Chanzo cha kifo chake bado hakijajulikana na wameahidi wakipata...
KATIKA wasanii mastaa ambao wangepaswa kuishi maisha mazuri nchini kwa sasa, ni wale wa filamu ndio wangepaswa kuwa wanashikilia chati za juu kutokana na jinsi kazi zao zinavyotengeneza fedha...
Dj Luke Joe mtanzania mwenye makazi USA akifanya mahojiano na gwiji la muziki wa soukouss Lokasa ya Mbongo:
http://vimeo.com/56817186
Source: www.vimeo.com by Luke Joe
JACK WOLPER ALIA NA MATAPELI YANAYOTUMIA MITANDAO YA KIJAMII KWA JINA LAKE KUOMBA HELA WATU
Katika kile kinachoonekana ni mwendelezo wa matapeli wa mjini kutumia majina ya waigizaji maarufu...
HUYU NDO MREMBO ATAKAYEWAKILISHA SHINDANO LA BIG BROTHER MWAKA HUU
Kwa mujibu wa ripoti kutoka kwenye mitandao mbalimbali nchini Tanzania, mrembo huyu, mwanamuziki Feza Kessy, ndiye...
Hiyo ni kauli aliyoitoa muheshimiwa sugu bungeni leo jioni hii,akizungumza kwa jaziba amewaasa vijana wa bongo flavor kuwa na ushikiano na kuacha unafiki ambao baadhi ya watu ,wakiwemo clouds FM...
Habari wanajamvi wenzangu
NINAWAKARIBISHA KWENYE TAMASHA LA UIMBAJI WA UPAKO NA MGUSO WA MUNGU KUKUTEMBELEA USIKOSE JPILI HII YA TAREHE 26/05/2013 PALE
HOUSE OF PRAYERS KINONDONI MKWAJUNI...
HIVI karibuni vyombo vya habari nchini, vilipambwa na taarifa ya msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini, Joseph Haule, maarufu kama Profesa Jay kujiunga na siasa kupitia Chama cha Demokrasia...
Wakuu heshima mbele,
nimekuja kiuhitaji zaidi, na this time nina shida na nyimbo za bibie Judy Boucher. Kwa yeyote anayefahamu napowea kuzipata tafadhali, maana nimehangaika kuzitafuta maduka...
Wadau mimi ni mpenzi sana wa vyombo mbalimbali vya ala za muziki kama vile piano,gitaa na drums,ila napenda sana piano.
Napenda kujifunza kupiga piano,je kwa hapa bongo/Dsm kuna sehemu/college...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.