Mkuu umenikumbusha mbali sana kama sijakosea walipata ajali mwanza au wanatoka mwanza ila sina hakika...namkumbuka zaidi Complex..the guy was of his own..Mungu awape raha ya milele...wapumzike kwa amani.Leo ni mwaka wa nane (8) tangu tangu Vivian na Complex watutoke.
nawakumbuka sana , maisha yanaamana kubwa Mungu awapumzishe na awape raha ya milele.
walifariki kwa ajali ya gari eneo la Mbwewe wakiwa safarini kutoka Morogoro kwenye Fiesta iliyopewa theme ya MOTO ZAIDI wakiwaMkuu umenikumbusha mbali sana kama sijakosea walipata ajali mwanza au wanatoka mwanza ila sina hakika...namkumbuka zaidi Complex..the guy was of his own..Mungu awape raha ya milele...wapumzike kwa amani.
walifariki kwa ajali ya gari eneo la Mbwewe wakiwa safarini kutoka Morogoro kwenye Fiesta iliyopewa theme ya MOTO ZAIDI wakiwa
wanaelekea Arusha kwenye Anniversary ya ndoa ya miaka 25 ya ndoa ya wazazi wake na Vivian na siku hiyo pia vivian alikua anaenda kumtabulisha Complex kama mchumba wake kwa wazazi wake.