Can you write story and Scipt Get 10usd/scene

Can you write story and Scipt Get 10usd/scene

beth

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
3,881
Reaction score
6,375
Nataka film iwe ni love story
Andika scene ziandikwe moja moja, yaani ianze ya kwanza, nikichagua nalipa inafata ya pili, nitakayoichagua nailipia then inafata ya nne mpaka mwisho nalipa kwa mpesa tu.

Scene ikipata like nyingi naipa nafasi kubwa zaidi.
Andika script sio story.
Nikikulipa hutakuwa na haki yoyote na story,

Ok tuanze na scene no1.
 
Na ukishaziona na kuzikataa then baadae nikazikuta kwenye TV namdai nani?
 
Nataka film iwe ni love story
Andika scene ziandikwe moja moja, yaani ianze ya kwanza, nikichagua nalipa inafata ya pili, nitakayoichagua nailipia then inafata ya nne mpaka mwisho nalipa kwa mpesa tu.

Scene ikipata like nyingi naipa nafasi kubwa zaidi.
Andika script sio story.
Nikikulipa hutakuwa na haki yoyote na story,

Ok tuanze na scene no1.

Biashara kichaa
 
Nataka film iwe ni love story
Andika scene ziandikwe moja moja, yaani ianze ya kwanza, nikichagua nalipa inafata ya pili, nitakayoichagua nailipia then inafata ya nne mpaka mwisho nalipa kwa mpesa tu.

Scene ikipata like nyingi naipa nafasi kubwa zaidi.
Andika script sio story.
Nikikulipa hutakuwa na haki yoyote na story,

Ok tuanze na scene no1.

sioni biashara nao hujuma ya ideas za watu tu hapa.
 
Wewe dada mbona hueleweki hebu toa maelezo ya eleweke mtu akuandikie scipt unalipa 10usd kwanini usitoe tangazo kama unataka story na scipt watu wakuletee weka namba za simu utapoigiwa au kama huna chakufanya rudi shule bado mapema dada
 
Labda ungefanya hivi andikwa mwenyewe hizo scripts kisha ziweke hapa tutakayoipenda sana uilipe JF hii ni kwa sababu ya dau lako, otherwise weka at least 100$ per scripts
 
mwizi wa script na analipa kwa M-Pesa tu sasa hapa ni kimeo inaoanekana yeye hayupo competent mpaka
watu wazipitie ili yeye apate mwanya wa kuirekebisha na kuitoa kama yake.tuwasiliane kuna script za kutosha hapa
 
Back
Top Bottom