Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Umewahi kununua kahaba? Kama jibu ndio basi kuna uwezekano umewahi kufanya mapenzi na wanyama kama mbwa au fisi bila ya wewe kujua! Unashangaaa? Usishangae na wala usibishe. Dunia inamambo ya...
15 Reactions
230 Replies
53K Views
1. TELL NO ONE. Ni miaka nane sasa imepita tangu dokta Alex alipompoteza mkewe, bi. Margot, kwa kuuawa kifo cha kikatili na kisha mwili wake ukatupwa karibu na makazi yao. Kwa kipindi chote...
17 Reactions
20 Replies
34K Views
SEHEMU YA KWANZA 1. (Mimi sio mwandishi mzuri mtaniwia radhi) Wazazi wangu siwezi kuwaita Masikini ila ni wazazi wenye kipato cha chini. Shughuli zao mpaka Leo ni kilimo na ufugaji wa kawaida...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Kama unaijua hii movie Ukiambiwa u-rate kuanzia 1 - 10 unaipa ngapi?
1 Reactions
3 Replies
430 Views
Nyimbo kuwa na numbers kubwa kwenye majukwaa ya kidigitali means imepewa green light na wasikilizaji yaani imepita (listeners choice). Kama ilivyo kuwa mtiti kumiliki pesa bilioni moja basi...
1 Reactions
8 Replies
778 Views
Nimeangalia utoaji wa Tuzo hizo, nilichobaini ni kwamba hazikuwa Tuzo kama tunavyoaminishwa, kiukweli ile ilikuwa sherehe ya Get Together ili Marafiki wapongezane Wala haijulikani hata vigezo...
3 Reactions
3 Replies
588 Views
Hadithi ya Tuzo za Muziki Tanzania (TMA) inazidi kupamba moto, na sasa tumebakiza siku tisa tu hadi wasanii wetu wapate fursa ya kutunukiwa heshima kuu kwa kazi zao za ubunifu. Tuzo hizi hazina...
1 Reactions
3 Replies
717 Views
Watu wengi wamekua wakijiuliza kwa nini siku hizi night clubs zinakufa sana, mfano Maison na nyinginezo hapa Tanzania. Ukweli ni kwamba night Clubs Dunia nzima zinakufa kwa sababu kizazi Z ambao...
4 Reactions
32 Replies
3K Views
Sababu ziko tofauti.. Mimi 1. Far cry 6 Hili rasmi nmelifuta leo, sikulimaliza bt sikulipenda nahisi game play yake halivutii kabisa. Gb 100 2. Dying light 2; stay human graphics nzuri ni third...
5 Reactions
64 Replies
2K Views
Askari wa FFU wakicheza kwa kukata mauno Landrover Festival hawana ubaya na mtu raia mwema https://youtu.be/nJd2S1yiYpU?si=mir2izshdjgKhTnE
6 Reactions
24 Replies
2K Views
Binafsi hadi kufikia sasa, naweza kusema Movies mbili kali (Top 2) kuwahi kuona mpaka sasa ni: • No Escape, movie inayoonesha ukatili uliokuwa ukifanywa na Waarabu dhidi ya Wazungu. Wazungu wengi...
10 Reactions
85 Replies
10K Views
Mwenyezi Mungu awabariki wote walioshiriki kutunga nyimbo hizi za TENZI ZA ROHONI. Hizi ni baadhi tu ya nyimbo hizo zinazogusa moyo (Heart touching songs) 1.Mungu ni Pendo 2.Usinipite Mwokozi...
51 Reactions
153 Replies
14K Views
Riwaya: NIRUDISHIENI MWILI WANGU Mwandishi: GILBERT EVARIST MUSHI Phone: +255765824715 UTANGULIZI Nilikuwa nikijitahidi kuchochea pedali katika baiskeli yangu ili baiskeli ikimbie zaidi ya...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Mimi nimekuwa mpenzi na muumini mkubwa wa nyimbo za trance na electronic karibuni tushee vitu mbali mbali juu ya mziki huu mzuri
1 Reactions
12 Replies
600 Views
Unaweza vipi kutoa kibali kwa msanii wa muziki wa " hip hop " kutoka Marekani kufanya show nchini Saudi Arabia? Seriously!!! A guy who talks about shooting other people and utter a lot of...
6 Reactions
164 Replies
9K Views
Simulizi : SALAMU KUTOKA KUZIMU Mwandishi : BEN R. MTOBWA Imeletwa kwenu na: BURE SERIES SEHEMU YA 1 KIFO kaja duniani kwa kazi moja tu. Akikukuta umekwisha... Akikusalimia umekwisha... Hana...
6 Reactions
208 Replies
40K Views
Wanadai Bongo fleva inapeleka mambo machafu Zanzibar. Moja ya wageni walioudhuria Jukwaa la 13 la Biashara Zanzibar ameshauri Serikali ya Zanzibar kuzuia kupigwa kwa baadhi ya Nyimbo za bongo...
4 Reactions
51 Replies
2K Views
Toka enzi za kale muziki ulikuwepo, upo na utaendelea kuwepo kwa wingi wa nyimbo zilizokuwepo duniani ilibidi kusiwe na melody tena but fun facts nyimbo zinaendelea kutoka zenye melody kali aina...
3 Reactions
7 Replies
469 Views
Hadithi hii nikiikumbuka natokwa na machozi, hadithi ya kweli ilitokea huko mkoani Tanga. Wakati nikiwa mdogo mwanzoni mwa miaka ya tisini, nilikuwa nikiishi kwa wazazi wangu waliokuwa...
5 Reactions
9 Replies
2K Views
Naona baada ya mafanikio makubwa ya Season 1, wanarudi tena. Dec 26 ndio episode 1 itaanza na kutakua na jumla ya episode 10. BTW ni miaka mitatu tokea Season 1 itoke. Tunazeeka aisee.
2 Reactions
6 Replies
573 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…