kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 17,101
- 16,792
Mzee wetu Muhidini Maalim Gurumo (r.i.p) nguli wa Muziki wa dansi nchini alikufa na kuzikwa kijijini kwao kule Masaki, kata ya Masaki, tarafa ya Sungwi, wilaya ya Kisarawe, mkoa wa Pwani kilometa kama 28 kutoka Kisarawe mjini.
Amezikwa hatua chache tu (kama 10) toka barabarani mkono wa kushoto wa barabara ya Kisarawe- Msanga karibu na soko la Masaki.
Inafahamika vema kuwa mzee huyu alikufa akiwa na jicho moja halifanyi kazi (limevunjika), kwaajili ya kuweka kumbukumbu nzuri ya mzee wetu huyu maarufu naomba kufahamu jinsi mzee huyu alivyopata kuwa na hitilafu ya jicho lake moja, nini ilikuwa sababu na lini?
Amezikwa hatua chache tu (kama 10) toka barabarani mkono wa kushoto wa barabara ya Kisarawe- Msanga karibu na soko la Masaki.
Inafahamika vema kuwa mzee huyu alikufa akiwa na jicho moja halifanyi kazi (limevunjika), kwaajili ya kuweka kumbukumbu nzuri ya mzee wetu huyu maarufu naomba kufahamu jinsi mzee huyu alivyopata kuwa na hitilafu ya jicho lake moja, nini ilikuwa sababu na lini?