Jaman samahani naomba msaada wenu wapi naweza kudownload marichui na la levancha please nisaidieni maana nina mwaka sasa nazitafuta hizi tamthilia bila mafanikio
Msanii kutoka Rock City,Mwanza 'Malale' ameachia wimbo wake mpya 'Kampeni Za Kahawa' akimshirikisha Bob Haisa kutoka Mwanza pia.Mtayarishaji wa wimbo huu ni King Fenya kutoka Mbunda...
Baada ya kipigo tulicho kipata mashabiki wa SPAIN, leo nimeendelea na utafiti wangu ulio anza juzi na leo asubuhi kwa uchungu nimefikia kikomo.Nilikua nafanya utafiti kujua mabinti wengi wanapenda...
Prove yoself if u ar kind of genous
Farmer Gray and Farmer Brown were neighbors.
One day, Farmer Brown bought Farmer Gray's
horse for $60. Soon thereafter, Farmer Gray began
complaining that the...
Habari jamani! Ni miaka sasa bongo yetu imekuwa ikitembelewa na watu maarufu sana duniani wakiwemo wanasiasa, wasanii, wanamichezo n.k kupitia udhamini wa watu,makampuni na mashirika mbalimbali...
poleni na majukumu ya kimaendeleo nnapata shida sana katika hili ebu na nyie mnipe ufahamu wenu basi kwa anayejua lkn naomba uniorozeshee wasanii wa kumi wa kwanza kurikodi muziki wa kizazi...
kama kuna mtu ana wimbo wa diamond musica unaitwa neema.
Nashangaa na maneno yakoo, umekua kigeugeuu, aaah neema aah
naomba mnisaidie plz
na wimbo mwingine wa vijana jazz nadhani unaitwa...
Wakuu, nimekuta taarifa za kusikitisha kwa Watanzania wengi na mashabiki wengine wa msanii nguli wa mziki wa kizazi kipya Diamond. Je kukosa kwake tuzo hizi ni kutotendewa haki kwa msanii huyu? Je...
1. Kwanza hakuna cha uzalendo wala nini, Diamond anafanya hayo kwa faida yake mwenyewe, genge lake na wanawake wake.
Vinginevyo angekabidhiwa bendera ya taifa.
2. Diamond angeshinda, angekua...