Obi
JF-Expert Member
- Jul 6, 2009
- 374
- 79
Kweli huyu jamaa anafikiria sana. Anajua anachokifanya. Kwenye wimbo huu anamsifia Miss Tanzania (Nchi ya Tanzania). Anasema kuwa anampenda sana Miss Tanzania ila Miss mwenyewe hajatulia. Ameacha viungo vyake wazi (Rasilimali za Nchi) vinashikwa na kila mtu (Mafisadi).
Jamaa amejitahidi sana. Keep up Man
Last edited by a moderator: