Nani analipwa vizuri kati ya watu hawa

Nani analipwa vizuri kati ya watu hawa

Mlalahoi Mlalahai

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2015
Posts
399
Reaction score
149
Kwenu wadau, nataka kujua kati ya msanii wa muziki, muigizaji wa movie na mcheza mpira nani anayepata maslahi mazuri, tupime kwa wiki au mwezi
 
hujafafanua hzo kazi unazungumzia duniani au Tanzania
 
Maan Mwanamuziki analipwa kwa show,mauzo ya albam au single,msanii wa movie analipwa kwa Movie anayocheza na mcheza mpira analipwa kwa mshahara either kwa wiki au mwezi inategemea na mkataba wake japo wote pia wana access ya malipo ya matangazo au mikataba na makampuni tofauti
 
Mwanamziki ana uwanja mpana zaidi wa kutengeneza mkwanja kuliko hao wengine, fananisha wanamziki walio on top na hao wengine utagundua wanamziki wako juu wakifuatiwa na wacheza movie, kwenye soka mchezaji anayeongoza kwa mkwanja ni CR7 ambaye ukimleta kwenye list ya matajiri wa mziki hata 20 bora haingii, utajiri wa P.Diddy ambaye ni no. 7 kwa wanamuziki matajiri ni zaidi ya mara 2 ya utajiri wa CR7 ambaye ndio no 1 kwenye soka
 
Ni bora Ungekuwa very specific kwa case study fulani kuliko kugeneralize world widely.
Maana utakuta careers zingine hazimerge in payments across countries!
 
Dangote, Mengi, Dewji, Rostam, Bahresa are politicians eeh?!

Meen tunaongelea utajiri kupitia vipaji...

Kama ulikua hujui African politician ni kipaji chukua hiyo!!
 
Back
Top Bottom